Ntuzu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2013
- 17,418
- 10,877
Tumepat point sio mbaya though ilitupasa kushinda ni ukweli uliowazi kuwa jamaa walikuja kutafuta point moja na wameipata all in all macho yote na akili zote to the next game with Hull.
#COYG
Mkienda OT Man u wanawafunga....nafasi ya 4 inawahusu...
Shikamoo Mourinho.....