rubaman
JF-Expert Member
- Sep 10, 2011
- 4,983
- 3,084
Welbeck anakosa goli la wazi kabisa
Arsenal huwa hatupati magoli ya kindondokela kama timu nyingine. Pale Welbeck hata angejiangusha mpira ungedeflect na kuingia nyavuni. Haikuwa bahati yetu labda next time tutawapata.