Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Mkuu sio kuongea sana. Hii ilikuwa ni kujibu alichosema hapo awali. Anyway, ndio mambo ya soka ya humu. Tunachangamsha mabaraza ya JF. Kina Nzi wanaongea sana kuwa juu ya Liverpool, kuwafunga Liverpool, Man City, Spurs kwa mfululizo na wengine tunaongea jinsi kibao kilivyobadilika tangu Fergie astaafu.

Umesahau na jinsi ya kumfunga Arsenal...ulipigwa kwenu kumbuka kwenye EPL...
 
Khe khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee

11161345_1411020145604864_7985160062165782227_n.jpg

 
Haka ka- Mentor aka Mungiki Brother kanawewesekaweweseka tu chijui katakuwa kama wale wanaojiua kule Kwa Manyang'au? Juzi tu kalikuwa kamekimbilia Mancs chacha kamerudi kwa Mafioso phew! Aibu kanatanga tanga tu katoto ka kalikochanganyikiwa kanatafuta tajiri mpya. mambo ya Gunners yanafanya kaweweseke weweseke tu. Khe khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee Ding Dong.
 
Last edited by a moderator:
Haka ka- Mentor aka Mungiki Brother kanawewesekaweweseka tu chijui katakuwa kama wale wanaojiua kule Kwa Manyang'au? Juzi tu kalikuwa kamekimbilia Mancs chacha kamerudi kwa Mafioso phew! Aibu kanatanga tanga tu katoto ka kalikochanganyikiwa kanatafuta tajiri mpya. mambo ya Gunners yanafanya kaweweseke weweseke tu. Khe khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee Ding Dong.

Lini umeona nikiishabikia Man city mkuu! Wacha 1 uongo!!!
 
Last edited by a moderator:
Hapo bado unaongelea wakati ujao, na ni suala la 'probability'.

Ila sielewi unavyosema lazima United ipoteze points kibao. Yaani unasisitiza lazima kama vile wewe ushajua matokeo tayari.

Ushabiki wa aina hiyo mimi sina siku...kwani najua kwenye soka kuna uwezekano wa kupata matokeo matatu.

Ushabiki huo utaongea na Malafyale.

Mdudu Nzi bana hapa umekua mpoleee

poor you
 
Last edited by a moderator:
Khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Two games in hand 2 points above the 4th place, UCL spot is almost secured. Tukishinda j3 tutakuwa na uhakika mkubwa wa kumaliza kati ya namba 2 au 3.
 
Nilikuwa naangalia tangu mwanzo mpaka mwisho Mkuu baada ya kipyenga cha mwisho nikabaki na tabasamu kubwa sana. Muhimu kushinda kesho kutwa ili kuongeza gap na tukiwapiga Hull tunazidi kuwagaragaza. #Mburukenge wamekuwa wengi Mkuu acha Wakuu kama akina Mbu waamue kuingia mitini.

Two games in hand 2 points above the 4th place, UCL spot is almost secured. Tukishinda j3 tutakuwa na uhakika mkubwa wa kumaliza kati ya namba 2 au 3.
 
Lini umeona nikiishabikia Man city mkuu! Wacha 1 uongo!!!

Aisee, mungiki Brother unatisha hata Simon Peter alimkana Yesu three times, ona aibu! Phew! Chacha umemtelekeza ndetichia. Anyway yaliyopita si ndwele tugange yajayo. Hebu jibu hizi tuhuma hapa chini ...... ...... ...... ding .... . .dong.


''Manuel Pellegrini dismissed Chelsea as ‘a small team’ ..... ...... ..
Moureen’s willingness to play defensively suggests they do not see themselves as a big club.'' Khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Last edited by a moderator:
zp_551648047_SM_0472_8E_31108D_5888.jpg


Vijana walikuwa gado Colney kujiandaa na mtanange wa leo jioni .... ....

zp_551648047_SM_0515_75_31108F_2825.jpg


zp_551648047_SM_0551_99_311092_1539.jpg


zp_551648047_SM_0555_FA_311093_2585.jpg


zp_551648047_SM_0668_81_31109A_6084.jpg


zp_551648047_SM_0727_36_31109B_1172.jpg


Diaby na Ox ndani ... .... .

zp_551648047_SM_0739_1E_31109D_6758.jpg


Jack back on the fold .... ...

zp_551648047_SM_0743_20_31109E_6918.jpg


zp_551648047_SM_0780_BA_3110A3_4318.jpg


Prof kama kawa .... .

zp_551648047_SM_0786_B0_3110A5_8676.jpg


More to come from these boys #COYG



 
Ligi imeisha tugange yajayo sasa .

Mkuu mambo bado tunaendelea kunoa vijana kwa ajili ya FA cup .... ..... . Wacha na na hao walionunua kikombe .... .... walianza kulialia kama vitoto vilivyokosa lawa lawa ati chijui kuna campaign et al .... ... ..what a shame a small team hiding in the cowshed.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu mambo bado tunaendelea kunoa vijana kwa ajili ya FA cup .... ..... . Wacha na na hao walionunua kikombe .... .... walianza kulialia kama vitoto vilivyokosa lawa lawa ati chijui kuna campaign et al .... ... ..what a shame a small team hiding in the cowshed.

Ngoja tuwaache wafu mzikane wenyewe!
 
Last edited by a moderator:
11173386_1414938698546342_8170666514073866487_n.jpg


Hii mmeshaiona eti???! khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
11210442_1413502648689947_8478603934291736511_n.jpg


khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 


Hii mmeshaiona eti???! khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee



khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee

Huo ndio tunaita wivu wa kike, who cares about them, only a small team like Chelsick, we have moved on to better players, thats life grow up. No one cares about a small team, thats why you come to this big club thread with your pics so that those who follow a big club can see what you want to convey, but we aren't moved.

Njoo jioni uone soka la uhakika sio la kubebwa na mbeleko na kutumia brown envelopes etc.
Siku za tajiri mwizi zinakaribia arobaini akifa na katimu kanakufa kibudu! Phew!
 
Back
Top Bottom