Balantanda
JF-Expert Member
- Jul 13, 2008
- 12,484
- 4,819
Safi sana...Cesc anapata heshima ya kipekee wakati akitoka
Hatujapotea sana labda huangalii vizuri.Mmepotea kipindi cha pili!!!
Yaani hizi dakika za mwisho full presha tu.Naona Wenger yupo very desperate kumfunga Mourinho, anafanya subs za liwalo na liwe. Chelsea wanaweza kutupiga a sucker punch na kuondoka na 3points mwishoni mwishoni
FT
Arsenal 1-1 Chelsea
chelsea wanafurahia droo
Hawaamini kama wamesalimika.Dah...hii game ilikuwa yetu kabisa yani...
Yeah....Wakishinda game ijayo wanatangaza ubingwa....Kikwazo kwao kilikuwa ni leochelsea wanafurahia droo
chelsea wanafurahia droo
Naona tunarejea vizuri na tumekuwa tishio maana chelsea hawaamini kama wametoka salama maana hii droo inavyoshangiliwa.Nilisemaga Wenger alikosea kutomrudisha Cesc Arsenal. Labda tungekuwa tunakimbiza Ubingwa kama angemrudisha August badala ya kwenda kwa "rentboys".... Next season itakuwa ngoma mkono hadi mtondogoo. Arsenal tutakuwa vizuri zaidi ya tulivyoanza msimu huu. Tukimaliza 2nd spot na kulibeba FA Cup kwa mara ya 2 mfululizo itakuwa a BIG BIG COME UP. Vile vile nataka £150M waishie wa 4.