Lancashire
JF-Expert Member
- Sep 20, 2014
- 14,082
- 10,454
Hodi hodi Highbury...fungua mlango tukamilishe ratiba. Teh teh teh
Hodi hodi Highbury...fungua mlango tukamilishe ratiba. Teh teh teh
Hodi hodi Highbury...fungua mlango tukamilishe ratiba. Teh teh teh
Ha ha ha niliyakumbuka maskani ya zamani najuwa wapo emirates this time.Hihgbury? Mkuu upo dunia ya mwaka gani? Walihamia Ashburton Grove aka Emirates. Highbury walijenga magenge ya kuuzia vitunguu na mafungu ya nyanya( wachezaji wa mafungu)hahahaha
Hodi hodi Highbury...fungua mlango tukamilishe ratiba. Teh teh teh
Wenzako wote wanaogopa kuja huku, hongera kwa kujitutumua kuja ....... nipelekee salamu zangu kwa Ntuzu kunguru mjanja na b5-click.........
Eli79 mwanangu narudia tena uwe hodari na moyo wa ushujaa tu.........
Hakuna anaeogopa mamito....wenye Nyumba hii ndio Wanaogopa. Angalia tu hawana ata tambo km wewe na wadau wengine Wa Man Utd mlivolisongesha mpk ikaleta raha kubwa kabisa. Sasa tukija humu tukiwapa tambo hakuna yoyote anaejibu inabidi kutulia home ktk thread yetu tu. Huku hakuna cha Eli79 wala BAK wote wanaogopa.
Sports lady leo tangy asubuhi nimetingwa hapa sijaingia. Nimuogope nani eti? Hao Chelsea ni wakuogopa? Labda ungesema Barcelona, Real Madrid, Bayern Munchen na Juventus a.k.a the old lady. Wao ndio wanaongoza ligi zao na hakika tunaona wanachofanya huko uefa. Sasa hawa Chelsea tambo zao ni hapo uingereza tu, wenzio wote waoongoza ligi zao tunaona wanchokifanya huko majuu... Ntuzu, b5-click na wengine wote hawamtishi mtu.
Wenzako wote wanaogopa kuja huku, hongera kwa kujitutumua kuja ....... nipelekee salamu zangu kwa Ntuzu kunguru mjanja na b5-click.........
Eli79 mwanangu narudia tena uwe hodari na moyo wa ushujaa tu.........
Hahahahhahah!!!! Safiii,ningeshangaa kama watoto wadogo wangekutisha, hawana lolote hawa kazi kupaki mibasi tu .... Ntuzu usipaone hapa tafadhali...... Lol
Tupo sana! Kesho tunajipigia kwa raha zetu!
Tupo sana! Kesho tunajipigia kwa raha zetu!
Sports lady leo tangy asubuhi nimetingwa hapa sijaingia. Nimuogope nani eti? Hao Chelsea ni wakuogopa? Labda ungesema Barcelona, Real Madrid, Bayern Munchen na Juventus a.k.a the old lady. Wao ndio wanaongoza ligi zao na hakika tunaona wanachofanya huko uefa. Sasa hawa Chelsea tambo zao ni hapo uingereza tu, wenzio wote waoongoza ligi zao tunaona wanchokifanya huko majuu... Ntuzu, b5-click na wengine wote hawamtishi mtu.
Hahahahhahah!!!! Safiii,ningeshangaa kama watoto wadogo wangekutisha, hawana lolote hawa kazi kupaki mibasi tu .... Ntuzu usipaone hapa tafadhali...... Lol
Hawana lolote hawa. Hao PSG tu wamekuwa mwiba...uefa mouthrinho kapashindwaaa, Ancelloti anamfundisha kazi kule Bernabeu. Ngoja kesho tuwapige kidogo ili kuchekewesha ubingwa wao manake kila mtu naona anausubiri tuuuu..