Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Wakuu wa Gunners leo point 3 ni muhimu sana kwetu ili tupunguze gap na yule wa juu huku tukimuachia manyoya yule wa chini yetu. So kila lililo kheri kwa Gunners ni matumain yangu kuwa point 3 muhimu zinabaki pale Ashburton Grove.
Tukutane hapa wadau wote Mbu, BAK, Sizinga Wacha1, Richard utafiti et...al
#COYG

Pamoja sana mkuu
1430053163276.jpg
 
Last edited by a moderator:
Niko hapa Mkuu nafuatilia huu mchapo wa mwanzo. 3 points ni muhimu sana leo.

Wakuu wa Gunners leo point 3 ni muhimu sana kwetu ili tupunguze gap na yule wa juu huku tukimuachia manyoya yule wa chini yetu. So kila lililo kheri kwa Gunners ni matumain yangu kuwa point 3 muhimu zinabaki pale Ashburton Grove.
Tukutane hapa wadau wote Mbu, BAK, Sizinga Wacha1, Richard utafiti et...al
#COYG



Hizo ni ndoto wakuu wangu....Leo mtajuta kutufahamu
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom