Kunguru Mjanja
JF-Expert Member
- Aug 22, 2012
- 2,047
- 3,978
Ndugu yangu Ntuzu wewe usijali sisi hapa tutakuja kuthibitisha maneno ya baba tu Kwamba "Wenger is a specialist of failure" basi
Pamoja sn Mkuu...
Mi nipo tayari naangalia namna ya kuwasambaza hawa Gunners....
Njooni tuliamshe humu mpk wakome....
Usijali mkuu wamesahau Kuwa kocha ni Mourinho, sasa labda niwaulize Kwamba je walishawahi kumfunga Mourinho?!
Wacha kuwewesekaweweseka wewe zile goli nne hazikukutosha? khe khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeNajua leo mnaombea sana MAJOGOO yapoteze kwa Villa jambo ambalo ni sawa na doto!
Sasa hata nyie warusha manati mnayaogopa Majogoo
Moureen ndiye anacheza? khe khe khe keh khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee weye chubiri May ifike ndio utafahamu Moureen kibarua kinaota mbawa.
Moureen ndiye anacheza? khe khe khe keh khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee weye chubiri May ifike ndio utafahamu Moureen kibarua kinaota mbawa.
Najua leo mnaombea sana MAJOGOO yapoteze kwa Villa jambo ambalo ni sawa na doto!
Sasa hata nyie warusha manati mnayaogopa Majogoo
Angalia umakini kwenye sura hapo juu, kila mtu yuko makini, wachezaji wananyoosha viungo, kocha anasisitiza, physios wanatathimini kila mchezaji, uwanja bomba na sisi roho juu!RFC VS ARSL [/IMG]
kunguru mjanja njoo huku......kuna mtu huku sijui anasemajeUsiombe kukutana na Arsenal, lazima ugongwe