Arsenal (The Gunners) | Special Thread


Hata ww sasa unayaogopa Majogoo!BB kalala pale pale kwake

Nakuja Darajani kukuchana chana kabisa
 
Last edited by a moderator:
QPR tunakwenda kuwazika wazimawazima weekend hii ijayo alafu ndio iwe zamu yenu sasa wapinzani wetu!
Ntuzu
Kama uliangalia mechi baina ya QPR vs Aston Villa, lazima utakuwa umepata wasiwasi kidogo. Kwa msimu huu, mechi hii ilikuwa ya aina yake katika michezo yote niliyoiangalia. Kama hukubahatika kuiona mechi hii tafuta highlights uone walivyosakata kabumbu.
Sasa wakicheza kwa kiwango walichocheza na Aston basi mmeumia.
 
Jack Wilshere is not for sale, Arsenal boss Arsene Wenger tells Manchester City

Manchester City are interested in Arsenal midfielder Jack Wilshere


But Arsene Wenger insists the England international is not for sale
Wilshere, Abou

Diaby and Mikel Arteta passed fit for Burnley clash
Laurent Koscielny facing fitness
test on injury sustained against Liverpool




#COYG
 

Man City wapandishe dau kwa the BEST MIDFIELDER the EPL has seen Abou Diaby tutawasikiliza.
 
Ninachokupendea huwa unakomaa mpaka mwisho....sema tu mwaka juzi sijui ulipatwa na nini maana ulijificha kwenye Dari la nyumba baada ya dhahma ya ubingwa kupotea,....Hahaaaa hili hata Piere. Fm analijua, nangojea ya mwaka huu...kituko!!
 
Last edited by a moderator:
Ninachokupendea huwa unakomaa mpaka mwisho....sema tu mwaka juzi sijui ulipatwa na nini maana ulijificha kwenye Dari la nyumba baada ya dhahma ya ubingwa kupotea,....Hahaaaa hili hata pierre.Fm analijua

Sizinga mi huwa sijifichi darini bwana!

We ndo umepotea umeikimbia timu yako! Piere. Fm ananijua vzr kua nipo na wakati wote nipo!
 
Last edited by a moderator:
Sizinga mi huwa sijifichi darini bwana!

We ndo umepotea umeikimbia timu yako! Piere. Fm ananijua vzr kua nipo na wakati wote nipo!
Siwezi kuikimbia timu mkuu...Im back!! Tutapambana hapa mpaka May kieleweke, ni majukumu flani tu yalinusumbua hapa kati....Mpaka kieleweke.
 
Siwezi kuikimbia timu mkuu...Im back!! Tutapambana hapa mpaka May kieleweke, ni majukumu flani tu yalinusumbua hapa kati....Mpaka kieleweke.


Usijali Sizinga tuko pamoja sn kaka na pole kwa majukumu Mkuu!
 
Last edited by a moderator:
Arsenal wawaa!

Hapa ndoto ni kumfukuzia yule chadomo hatimaye tumpiku vizuri, Le Prifessor tupo nyuma yako, waambie vijana wako kaza buti!!!
 
Arsenal wawaa!

Hapa ndoto ni kumfukuzia yule chadomo hatimaye tumpiku vizuri, Le Prifessor tupo nyuma yako, waambie vijana wako kaza buti!!!



Malizaneni na Bunley Kwanza weekend hii!
 


Vijana walikuwa Colney kwa mazoezi ya mwisho mwisho . ..
Kujiandaa kwa mtanange wa kesho ... ..... .Kick off 5:30 BST Live on Sky Sports 1




Who else .... .... ...





Abou Diaby .... .





#COYG
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…