Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Maneno haya niliyasikia pia kabla man u na arsenal, kombe la FA. Kilichotokea baada ya dakika 90 siri yangu siwezi kusema hapa

Hahahahahaha lol! unataka everlenk anune aishie kuaga asirudi tena hadi J'pili lol!

Ilibidi tujipe moyo kiukweli kwa kipindi kile hali ilikuwa mbaya sana na falsafa za LVG,lakini unaona siku ile at least tulibadilika kidogo lakini kwa jinsi tulivyokuwa hovyo nilijua mngetuchapa week kabisa!!! lol
 
Last edited by a moderator:
Ushindi ule ni kutokana na mkongwe Ryan Giggs akiungwa mkono na wachezaji kuipiga chini falsafa ya Babu yenu. Babu alikuwa hana jinsi na kubaki kuwa mpole tu.

Ilibidi tujipe moyo kiukweli kwa kipindi kile hali ilikuwa mbaya sana na falsafa za LVG,lakini unaona siku ile at least tulibadilika kidogo lakini kwa jinsi tulivyokuwa hovyo nilijua mngetuchapa week kabisa!!! lol
 
Hmmmmm! Hii si falsafa ya LV Girl bana sasa mbona mlikuwa hamshindi!? na mashambulizi yenu yalikuwa ni ya kusuasua mkifanya shambulizi 2015 linginge mpaka 2018? lol!

Hahahaha!! Sisi falsafa yetu always ni mashambulizi kwa kwenda mbele no kuremba ila LVG mashambulizi ya long balls utafikiri tunacheza golf,lol
 
Hauta enjoy hiyo El CLassico sababu Sterling atakuwa kaisha kuvuruga masaa ma 2 tu yaliyopita kwa kutupia mbili za haraka haraka

Thubutuuuuu!!! Yaani siku ya jumapili ni raha kwa kwenda mbele,hata yakiwa mabaya mwanaume Messiya atanifuta machozi El Classico si ya kukosa hata kidogo.
 
Thubutuuuuu!!! Yaani siku ya jumapili ni raha kwa kwenda mbele,hata yakiwa mabaya mwanaume Messiya atanifuta machozi El Classico si ya kukosa hata kidogo.

Najua utafurahia kumuona kijana wetu Suarez akitupia!

Barca naipenda sasa sababu ya kijana wetu
 
arsenal wamenanihiwa ila kwa mbiinde kweli...

Wenger analalamikia rule ya away goal, anaweza akawa na point lakini in the last ten years ni mara ngapi Arsenal wametolewa kwa away goal?

Hivi wangefuzu away goal bado angelalamikia hiyo rule?
 
Wanaonifurahisha hapa lazima niwape likes, basi usiiweke hapa na kumpa heart attack Mkuu utafiti lol!

Mi ntaiweka......maana kule kwetu uliweka uliweka wale watoto wmevaa DDDDD. Nakutania mkuu siiweki bhana Usije Ukapotea humu.
Mi ntaiweka......maana kule kwetu uliweka uliweka wale watoto wmevaa DDDDD. Nakutania mkuu siiweki bhana Usije Ukapotea humu.

11018863_1612748688941186_2348673232909746632_n.jpg
Poleni na uchovu.., khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Wenger analalamikia rule ya away goal, anaweza akawa na point lakini in the last ten years ni mara ngapi Arsenal wametolewa kwa away goal?

Hivi wangefuzu away goal bado angelalamikia hiyo rule?

Wenger hesabu zake mbovu sana.
1. Analegea sana game za nyumbani then anakaza ugenini jambo ambalo limekuwa likimgharim.
2. Wakati wenzake wakikomaa kuwa washindi wa kwanza kwenye makundi ili waanzie away, yeye anazugazuga tu ili afuzu matokeo yake anapangwa na vigogo au yanamyokea haya ya juzi.
3. Hajifunzi kutokana na makosa ya nyuma ama anajiamini kupita kiasi.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom