everlenk
JF-Expert Member
- Oct 5, 2012
- 11,628
- 15,032
Maneno haya niliyasikia pia kabla man u na arsenal, kombe la FA. Kilichotokea baada ya dakika 90 siri yangu siwezi kusema hapa
Hahahahahaha lol! unataka everlenk anune aishie kuaga asirudi tena hadi J'pili lol!
Ilibidi tujipe moyo kiukweli kwa kipindi kile hali ilikuwa mbaya sana na falsafa za LVG,lakini unaona siku ile at least tulibadilika kidogo lakini kwa jinsi tulivyokuwa hovyo nilijua mngetuchapa week kabisa!!! lol
Last edited by a moderator: