Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

BAK, Wenger ametoa maelezo yanayoeleweka vzr haihitaji kutia maneno sn ktk hilo.....nikumbushe kua huyu mzee Wenger amekua akitetea baadhi ya vitu ktk mpira ambavo kwa haraka unaweza kuona havina faida lkn pale vinapotumika basi unaona faida yake....kwa mfano matuzi ya replay ktk mpira...hichi ni kitu kizuri sn ktk kuchezesha mpira maana kinaondoa utata ktk maamuzi au mambo tata ambayo mwamuzi hawezi kuona km mwanadamu.....Niseme tu kua hilo swala alilosema huyo mzee ata mimi naliunga mkono.

Asante.
 
Last edited by a moderator:
BAK, Wenger ametoa maelezo yanayoeleweka vzr haihitaji kutia maneno sn ktk hilo.....nikumbushe kua huyu mzee Wenger amekua akitetea baadhi ya vitu ktk mpira ambavo kwa haraka unaweza kuona havina faida lkn pale vinapotumika basi unaona faida yake....kwa mfano matuzi ya replay ktk mpira...hichi ni kitu kizuri sn ktk kuchezesha mpira maana kinaondoa utata ktk maamuzi au mambo tata ambayo mwamuzi hawezi kuona km mwanadamu.....Niseme tu kua hilo swala alilosema huyo mzee ata mimi naliunga mkono.

Asante.

Jumlisha Financial Fair Play (FFP) aliipigia debe kwa muda mrefu. Watu wasioona mbali wakamcheka na kumkebehi angalia ilivyo sasa hivi. Kitu kingine ni hiki ni jambo la ugumu wa kupata kibali cha kazi(Wachezaji) England alilipinga kwa muda mrefu, limeshafanyiwa marekebisho kuanzia msimu ujao itakuwa ni rahisi kwa wachezaji kupata vibali kufanya kazi.
 
Kesho tuna kibarua na Newcastle Utd kwao. Tukutane hapa kupigia debe chama. COYG!!!!
BAK, Wacha1, Utafiti, Mbu, #TeamArsenal. #Mburukenge mkae kimya.
 
Jumlisha Financial Fair Play (FFP) aliipigia debe kwa muda mrefu. Watu wasioona mbali wakamcheka na kumkebehi angalia ilivyo sasa hivi. Kitu kingine ni hiki ni jambo la ugumu wa kupata kibali cha kazi(Wachezaji) England alilipinga kwa muda mrefu, limeshafanyiwa marekebisho kuanzia msimu ujao itakuwa ni rahisi kwa wachezaji kupata vibali kufanya kazi.

Asante mkuu kwa kuongezea nyama hiyo hoja...
 
Baada ya kutolewa Ligi ya Mabingwa Ulaya kwa kufungwa magoli mengi nyumbani, Arsene Wenger amesema sheria ya magoli ya ugenini ni afadhali ibadilishwe

Hahahahahahaaa


hah hah hah kapiga mbizi kwenye kokoto mzee wa watu...japo wamemnanihii ila ni kwa mbinde kweli
 
TRAINING AHEAD NEWCASTLE TODAY

zp_543538101_SM_1511_59_24A101_8569.jpg
 
kashengo ulikuwa umejificha sana late habario za masiku? Huku Alaska ndio kwanza kibaridi kinaanza kupotea tumejaa tele tuone hawa Magpies wataleta habari gani lakini naona vijana wako poa.

Ospina, Chambers, Gabriel, Koscielny, Monreal, Coquelin, Ramsey, Alexis, Cazorla, Welbeck, Giroud

#COYG
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Welbeck misses a sitter shoots wide .... .... .... .. ... . .. OG anaongeza hapa 28min

2 up
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Back
Top Bottom