everlenk
JF-Expert Member
- Oct 5, 2012
- 11,628
- 15,032
ndio wanakipiga na rm pale kisimani camp nou
Duh!! Ni siku ngumu sana kwangu hivyo j2,huku LFC huku RM duh!!!!
ndio wanakipiga na rm pale kisimani camp nou
walishinda nyumbani,wakabana ugenini wakafungwa,arsenal walifungwa 3 wakastruggle ugeneni wakapata mawili,usiwe na chuki na EPL
Kwa jinsi navyompenda Barca potelea mbali Man city wakafie mbali, halafu kwenye Laliga jumapil si wanacheza na RM? Au?
Hapana, 0-0 ni safi sana kwetu
Tunataka kuona bonge la game lakini matokeo yawe 0-0 kwa raha zetu. Itasaidia kupunguza machungu ya jana.
CC: everlenk
Mweeeee!!!! Nimekosa hata cha kusema, nyie malizeni hayo machungu mapema msiwe kama kina Ntuzu wakalia weee mpaka wakasahau kuna EPL wakatoa draw, mjue ninyi mkitoa draw nawapita....
Mweeeee!!!! Nimekosa hata cha kusema, nyie malizeni hayo machungu mapema msiwe kama kina Ntuzu wakalia weee mpaka wakasahau kuna EPL wakatoa draw, mjue ninyi mkitoa draw nawapita....
Sisi ata tukidraw, una wimbo gani wakumuimbia liverpool akuelewe?? Nae anataka uefa hahah
Wimbo huo utatungwa dakika 90 na studio tunaingia siku hiyo na album sokoni kabisa, nadhani umemsoma Carrick anamaanisha haswaa.......
Wimbo huo utatungwa dakika 90 na studio tunaingia siku hiyo na album sokoni kabisa, nadhani umemsoma Carrick anamaanisha haswaa.......
Khe kheee kheeeeeeeee naona Ryan Giggs kaipiga chini falsafa ya LV Girl na Babu yenu hajatia neno kauchuna kimyaaaa, chezeya Ryan Giggs weye! Haya ngoja tusubiri tuone J'pili si mbali.
Mtatumia falsafa ipi siku hiyo ya Babu LV Girl au ya mkongwe Ryan Giggs?
Falsafa yetu ya Manu Attack attack mpaka tone la mwisho la jasho.....