Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 61,023
- 36,876
wapenzi wenzangu wa aresenal najua mmejiandaa na shangwe ya ushindi lakini ukweli unabaki leo tunaishia na draw nakuendeleea na ligi yetu aliotupa Mungu mpaka morinyo anakiri tumerudi kwenye kugombania ubingwaa
katoka chelsea nini arsenal ..wenger wala usikate tamaa mpwa tuko nyuma yako
katoka chelsea nini arsenal ..wenger wala usikate tamaa mpwa tuko nyuma yako