Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Hawa cjui wamepatwa na nn
 

Attachments

  • 1425957795579.jpg
    1425957795579.jpg
    10.4 KB · Views: 221
Pole sana Teja. Mateja wenzio tulikuwa tunakenua tu kwa raha zetu. Yule Teja maarufu Fixed Point alionekana katililia kitop cha Gunners. Mwenyewe hudai akivaa kitop hiki siku ya game ya Gunners basi ushindi ni lazima na leo imethibitika hivyo kwa mara nyingine tena.
kwa kweli nilifuatilia haswaaaaa......
hongereni sana rafiki.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Wakuu hongereni sn kwa ushindi wa jana ni mategemeo yangu na Monaco mtakwenda kuichabanga hivo hivo km mlivoichabanga ManU.

cc: BAK Mbu Eli79
 
Last edited by a moderator:
Wakuu hongereni sn kwa ushindi wa jana ni mategemeo yangu na Monaco mtakwenda kuichabanga hivo hivo km mlivoichabanga ManU.



cc: BAK Mbu Eli79

Ntuzu
Game na AS Monaco ni tight sana. Napata shida sana kuifikiria, japo katika soka lolote laweza kutokea. Tusubiri wiki ijayo.
 
Last edited by a moderator:
Ntuzu
Game na AS Monaco ni tight sana. Napata shida sana kuifikiria, japo katika soka lolote laweza kutokea. Tusubiri wiki ijayo.


Mkuu mimi naamini kabisa kua Monaco mtakwenda kuifunga sn tu km mlivoifunga ManU jana.

Huyu kocha wenu mzee Wenger pamoja na mapungufu yake, wakati mwingine akiamua kufanya kz yake ata dunia husimama kwa muda na kustaajabu.

Nakumbuka hapo nyuma, Ac Milan ilitoka hapo kwenu ikiwa imewafunga km sikosei hivo ikabidi Arsenal na yeye vovote vile akashinde kule Milano Italy. Na kweli na kabla ya kwenda huko Mzee Wenger alisema anataka kuushangaza ulimwengu na kweli Milan ilipigwa Mbili bila ndani ya Sanciro.

B, Munich walikuja hapo kwenu wakaifunga Arsenal kutokana na kadi nyekundu iliyotelewa kwa makusudi ya mwamuzi na kuifanya Arsenal kua pungufu na kufungwa na Munich.....na Mzee Wenger aliilalamikia sn hii kadi na maana ni km mwamuzi alifanya makusudi. Lkn mchezo wenu wa pili kule Ujerumani mliweza kumfunga Munich ingawa hamkuweza kusonga mbele.

Sasa nikiangalia hayo yote na nikiangalia mmeshinda away games mbili kubwa kwa Man City na Manu jana na nikiangalia Historia yenu ya kushinda pale mnapokua ktk hali ngumu bila kujali mko ugenini au lah, Basi ninaona mna kila sababu na uwezo wote wa kuifunga Monaco....ila mnaweza mkashinda lkn mkashindwa kuitoa Monaco na km mtapambana sn basi mataitoa Monaco.

Binafsi ningependa sn kuwaona bado mnashiriki UCL maana rafiki yangu utafiti ntakua siomuoni ktk vibanda umiza kuangalia mpira km mtatolewa mapema.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Ntuzu kama tumeichapa bila huruma timu iliyokua inatupa shida sana, tena kwao kabisa, tutashindwaje kushinda 3 kwa Monaco??
 
Last edited by a moderator:
Manure jana shidah! Kumsumbuwa refa kila wakati hasa W Rooney, kuamini sababu wao ni Manure na wananuka, basi kila uamuzi uende upande wao, hilo ilikuwa ishara ya timu inayoshinda kibahati bahati pamoja na kwamba imetengenezwa kwa bei mbaya kuliko Arsenal..
Hawakuamini mpaka kipenga cha mwisho...
Well done boys..
 
Mkuu Ntuzu kama tumeichapa bila huruma timu iliyokua inatupa shida sana, tena kwao kabisa, tutashindwaje kushinda 3 kwa Monaco??

Kuifunga Monaco mtaifunga mkuu ata mimi naamini hivo, na hizo goli 3 naamini mnaweza kuzipata lkn hofu yangu ni kwamba mtaweza kuwazuia na wao Monaco wasipate goli ata moja?

Mimi naamini kua mtaifunga Monaco na sababu nimezitoa hapo juu lkn mnaweza msisonge mbele ktk robo faianali ata km mtaifunga Monaco labda mjitume sn kwa asilimia zote ndo mtaweza kuitoa Monaco.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu mimi naamini kabisa kua Monaco mtakwenda kuifunga sn tu km mlivoifunga ManU jana.

Huyu kocha wenu mzee Wenger pamoja na mapungufu yake, wakati mwingine akiamua kufanya kz yake ata dunia husimama kwa muda na kustaajabu.

Nakumbuka hapo nyuma, Ac Milan ilitoka hapo kwenu ikiwa imewafunga km sikosei hivo ikabidi Arsenal na yeye vovote vile akashinde kule Milano Italy. Na kweli na kabla ya kwenda huko Mzee Wenger alisema anataka kuushangaza ulimwengu na kweli Milan ilipigwa Mbili bila ndani ya Sanciro.

B, Munich walikuja hapo kwenu wakaifunga Arsenal kutokana na kadi nyekundu iliyotelewa kwa makusudi ya mwamuzi na kuifanya Arsenal kua pungufu na kufungwa na Munich.....na Mzee Wenger aliilalamikia sn hii kadi na maana ni km mwamuzi alifanya makusudi. Lkn mchezo wenu wa pili kule Ujerumani mliweza kumfunga Munich ingawa hamkuweza kusonga mbele.

Sasa nikiangalia hayo yote na nikiangalia mmeshinda away games mbili kubwa kwa Man City na Manu jana na nikiangalia Historia yenu ya kushinda pale mnapokua ktk hali ngumu bila kujali mko ugenini au lah, Basi ninaona mna kila sababu na uwezo wote wa kuifunga Monaco....ila mnaweza mkashinda lkn mkashindwa kuitoa Monaco na km mtapambana sn basi mataitoa Monaco.

Binafsi ningependa sn kuwaona bado mnashiriki UCL maana rafiki yangu utafiti ntakua siomuoni ktk vibanda umiza kuangalia mpira km mtatolewa mapema.

Hiyo ya ac Milan ilikuwa tumetoka 0-0 then kwao ndo tukashinda 2 bila!!na pia ipo record ya inter Milan kushinda kwetu 3-0 na tukaenda shinda 5-1 sansiro!!Yote yanawezekana hapo ni kujituma na kuwa makini zaidi mchezoni
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom