Mr. Mangi
JF-Expert Member
- Sep 21, 2014
- 1,512
- 771
Arsenal has not won at OT since 2006! Is it true??!!
pls say it again, teh teh teh teh man welbz
Arsenal has not won at OT since 2006! Is it true??!!
Leo MRIE ​tu ndio imeshatoka hiyo.
Endelea kujidanganya!! We are on fire kwenye hii FAWenger amewapatia harufu kidogo.
Mpira haukuwa mzuri...nothing of flowing football..no pace..dives and silly fouls.
Arsenal ni timu ya ajabu. Di Maria alitolewa uwanjani lakini Arsenal hawakuonekana wanataka ku-kill the game. Hakuna mchezaji anaweza kuvurumisha kombora, wanataka kufunga mabao ya slow motion.
Kwa kweli bahati ilikuwa upande wenu leo kwa kutolewa Di Maria. Isingekuwa hivyo, hii mechi ingeishia kwa sare au Arsenal kufungwa.
Wenger out or in?
​Hahahahahaha lol! Watu wamepakatwa kwa raha zao 🙂🙂
......asante, na ufute na mapeema ile kauli yako kuh game ijayo na Monaco kabla hayajakusibu!
:coffee:
Wenger amewapatia harufu kidogo.
Mpira haukuwa mzuri...nothing of flowing football..no pace..dives and silly fouls.
Arsenal ni timu ya ajabu. Di Maria alitolewa uwanjani lakini Arsenal hawakuonekana wanataka ku-kill the game. Hakuna mchezaji anaweza kuvurumisha kombora, wanataka kufunga mabao ya slow motion.
Kwa kweli bahati ilikuwa upande wenu leo kwa kutolewa Di Maria. Isingekuwa hivyo, hii mechi ingeishia kwa sare au Arsenal kufungwa.
Wenger out or in?
Hongereni aisee...leo mmetuweza..kila la kheri kwenye kutetea ubingwa wenu..
Mlivyocheza leo..aina ile ya uchezaji ndio "on fire"?Endelea kujidanganya!! We are on fire kwenye hii FA
The "girl" will stay put.tukuulize wewe LGV in or out? Stay away 4m our prof
The "girl" will stay put.
Te teh..ha haahaa .Umenichagulia timu tayari?
Unajua kusoma kweli?kwahiyo unakikana ulichoandika ama ulipagawa na ushindi wetu and who is the gel?