Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kesho nitakuwa nanyi mkimfunga Soton...

Karibu kule kwenye jukwaa la wastaarab sio kama majukwaa yenu yenye ukiritimba wa kutisha

Jukwaa la wapiga mishale ni BAK na rubaman tu wenye haki ya kuandika chochote wengine hadi ruhusa yao sambamba na jukwaa la Chelsea bila ruhusa ya Ntuzu na Manumbu huwezi andika kitu

Jukwaa la Man U lzm upate approval ya Nzi au RRONDO au dada everlenk kuandika

Kwetu yyt anaruhusiwa kuandika,njoo kesho
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: BAK
Kesho nitakuwa nanyi mkimfunga Soton...

hahaha desperate times calls for desperate assistance. Ajabu Man United kushangilia Liverpool. Nzi na Man unitede ndimi nje. Angalia unachokiomba kisije kukudhuru mbele ya safari. Liver wakishinda watakuwa 2 points nyuma yenu na bado mna vibarua vigumu vs Chelsea, Arsenal, City, Liver, Everton.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Chezeya kuweweseka weye Mkuu!!! They are all over the place trying to find another team to support in order to remain at their current position....Khe Khe kheeeeeeeeee


hahaha desperate times calls for desperate assistance. Ajabu Man United kushangilia Liverpool. Nzi na Man unitede ndimi nje. Angalia unachokiomba kisije kukudhuru mbele ya safari. Liver wakishinda watakuwa 2 points nyuma yenu na bado mna vibarua vigumu vs Chelsea, Arsenal, City, Liver, Everton.
 
Karibu kule kwenye jukwaa la wastaarab sio kama majukwaa yenu yenye ukiritimba wa kutisha

Jukwaa la wapiga mishale ni BAK na rubaman tu wenye haki ya kuandika chochote wengine hadi ruhusa yao sambamba na jukwaa la Chelsea bila ruhusa ya Ntuzu na Manumbu huwezi andika kitu

Jukwaa la Man U lzm upate approval ya Nzi au RRONDO au dada everlenk kuandika

Kwetu yyt anaruhusiwa kuandika,njoo kesho

Acha uongo wewe......jukwaa lenu limejaa watu wakorofi hakuna mfano.....sisi kwetu kila mtu anaingia na kusema lake na wewe ndio kiongozi wa wageni kwetu
 
Last edited by a moderator:
25EBAAC500000578-2962985-image-a-34_1424548600604.jpg

Mambo ya Selhurst Park hayo .... ... .... . COYG
 
Arsenal ni tume pekee ninayoiona PL yenye uwezo wa kutengeneza vikosi viwili tofauti vyenye nguvu..
Big up Gunners
 
Warusha mishale badala ya kupiga bunduki mpo salama?Naona sasa mnaanza kunusa harufu ya Majogoo wa Liverpool na kuanza kutuogopa ehehehehe
 
Warusha mishale badala ya kupiga bunduki mpo salama?Naona sasa mnaanza kunusa harufu ya Majogoo wa Liverpool na kuanza kutuogopa ehehehehe

Usiwe na wasi wasi mna mechi na Gunners Emirates .... ..... .... .... ... ..patamu hapo. Njoo J5 uangalie CL.
 
Acha uongo wewe......jukwaa lenu limejaa watu wakorofi hakuna mfano.....sisi kwetu kila mtu anaingia na kusema lake na wewe ndio kiongozi wa wageni kwetu

Sasa hivi nimeamua niwe nachangia jukwaa la man utd,Chelsea na arsenal hilo la akina Malafyale nimewaachia wenye!
 
Last edited by a moderator:
Sasa hivi nimeamua niwe nachangia jukwaa la man utd,Chelsea na arsenal hilo la akina Malafyale nimewaachia wenye!

Mkuu tunakukaribisha sana kule kwa Majogoo pls usitususe bana

Njoo tujadili soka
 
Last edited by a moderator:
Mkuu tunakukaribisha sana kule kwa Majogoo pls usitususe bana

Njoo tujadili soka

Uwezo wangu wa kujadili soka ni mdogo sana na kule kumejaa ma genius afadhali huku na Chelsea thread wanaweza kutuvumilia sisi tusiojua mpira tulioanza kuujua Mpira juzi
 
Uwezo wangu wa kujadili soka ni mdogo sana na kule kumejaa ma genius afadhali huku na Chelsea thread wanaweza kutuvumilia sisi tusiojua mpira tulioanza kuujua Mpira juzi

Unakimbia kule kwetu baada ya kugundua kuwa Majogoo yatakuzidi kwenye msimamo muda wowote kuanzia week ijayo na kumbuka kuwa ulikuwa unatuponda sana sisi!

Njoo kule tujadili soka,sisi tumekusamehe ww na Nzi pia
 
Last edited by a moderator:
Unakimbia kule kwetu baada ya kugundua kuwa Majogoo yatakuzidi kwenye msimamo muda wowote kuanzia week ijayo na kumbuka kuwa ulikuwa unatuponda sana sisi!

Njoo kule tujadili soka,sisi tumekusamehe ww na Nzi pia

Mnisamehe nimefanya kosa gani? Sina nafasi ya kuja jukwaa lenu tena Wacha1 nibanane na akina rubaman hapa....kule nawaachia nyie ma-experts wa soka.
 
Last edited by a moderator:
Na nyie GONERS mjiandae kwa kichapo hapo march 7/8.....anyway mshazoea kichapo kutoka kwenu hamna cha kujiandaa...........
 
Back
Top Bottom