Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Prof alikuwa gado na vijana Colney kama kawa, anafanya hii kazi pale kwa mwaka wa 19 sasa ..... ..... and it goes prof knows alikwenda the whole season bila kupoteza mchezo hata moja haijawahi kutokea. Lakini kuna vijitu vinataka kumpangia timu Phew! kesho kama ada pale White Hart Lane patawaka moto kwenye mtanange wa kukata na shoka ..... .....
COYG all the best to Gunners kama ada.
 
10978636_10152852161342713_7672340162068236128_n.jpg
 
gun__1416302824_welbeck_arm.jpg

Danny WelbeckTeam news: Welbeck, Alexis and Wilshere


on the team news...
Welbeck is back in the group. Apart from that we have the same squad available as last week.

on Alexis...
The latest is that Alexis is not ready. He is not far away, the Leicester game is a possibility. He is of course very difficult to keep quiet! He is training but it's light training. He wants to have a go [on Friday], but I think he is too short [of fitness].

on Jack Wilshere...
Jack will join in normal training next week, ahead of schedule.

on Alex Oxlade-Chamberlain…
Alex is still out, but he is starting to practice again, not full training.

on Serge Gnabry…
Serge will play on Monday night at Newcastle, with Bielik. Bielik is coming along very
 
sijawahi kuona kocha mpuuz kama wenger yani anamsingizia kuwa SANCHEZ ni majeruhi wakati SANCHEZ mwenyewe yupo fiti kucheza mzima wa afya lakini wenger anamsingizia ni majeruhi....nia yake nikuona michezaji yake walcot,giroud na welbeck wacheze.......kitendo hiki cha wenger kumsingizia sanchez ni majeruhi kimenikasirisha sana.......sanchez ni injini ya timu lakini wenger anamfanyia fitina sanchez.......yangu macho kesho na spurs kwa hao wachezaji wake anaowaamini tuone

Asee wewe ni mzima kweli?!
 
Wakuu wa Gunners msimu uliopita mechi za mchana zilitupa shida sana but kwa sasa natumai kikosi kipo vizuri na tunaweza pata matokeo mazuri.
COYG.

Mkuu mwaka jana karibu mechi zote za mchana tulipoteza, naamini mwaka huu haitatokea
 
Since the beginning of the Premier League in 1992, Arsenal have generally dominated this fixture, winning 18 matches out of the 45 played and losing only 8 times. Arsenal also lead in the wider context of the Premier League, having won the competition three times to Tottenham’s none and by finishing above their rivals in the table 19 times in 21 seasons.
 
Wana Arsenal wenzangu tusimulaumu wengar kila kitu.mbele tunamashindano mengi uefa,ligi kuu,Fa ,bado timu za taifa kunasababu gani yakumpanga Sanchez km hayupo fiti?
 
Full team: Ospina, Bellerin, Mertesacker,
Koscielny, Monreal, Coquelin, Ramsey, Welbeck,
Cazorla, Ozil, Giroud

Substitutes: Szczesny, Gibbs, Gabriel, Flamini,
Rosicky, Walcott, Akpom
 
Welbeck Anatoka injury mbona Mzee anajaribu kwa nn as in gem uanzishe theo ambae yupo on form na hata bahati ya kuscore. ?
 
David O ninamwamini sana golini kuliko yule ambaye hakawii kufanya makosa ambayo mengine yalizaa magoli.

attachment.php
 
Back
Top Bottom