Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Complete performance, clean sheets, first prem goal for some, starehe...
 
Pole nifah mie nilikuwa naangalia mchezo wote na kushuhudia magoli yote matano, leo ilikuwa kwa raha zetu ngoja niweke pictures.

Asante.Mimi pia nafurahia mvua hiyo ya magoli na pointi tatu muhimu tunazo.
....Haya tuwekee hizo picha tuburudike siye.
 
Last edited by a moderator:
10959889_10152840574007713_9152052107656754287_n.jpg
 
Katika mechi nane zilizopita ambapo tulistahili kupata 24 points tumepata 19 points si rekodi mbaya hata kidogo na mwezi huu na March kama tukiwa makini tunaweza kushinda mechi zote na kuwapa pressure kubwa walio juu yetu.

Asante.Mimi pia nafurahia mvua hiyo ya magoli na pointi tatu muhimu tunazo.
....Haya tuwekee hizo picha tuburudike siye.
 
cb45930a-a37f-48ee-871f-36d21458168c-1020x612.jpeg

Arsenal's Olivier Giroud celebrates scoring the opening goal in the match against Aston Villa. Photograph: John Sibley/Action Images

2ce35958-e92a-4bbe-a7a7-b56ae16092fd-620x389.jpeg

Bad day for Aston Villa's Kieran Richardson, Ciaran Clark and Jores Okore. Photograph: Eddie Keogh/Reuters

b284d7ed-54c4-4400-8a25-4bc1938a1a54-620x414.jpeg

Hector Bellerin celebrates his goal with Santi Cazorla. Photograph: Eddie Keogh/Reuters
 
Katika mechi nane zilizopita ambapo tulistahili kupata 24 points tumepata 19 points si rekodi mbaya hata kidogo na mwezi huu na March kama tukiwa makini tunaweza kushinda mechi zote na kuwapa pressure kubwa walio juu yetu.

Hapo ni pengo la point 5 tu!Sio mbaya tuombe tu hizo zilizobakia vijana wakiendelea kuperfome hivi tutakua katika nafasi nzuri na tishio kwa hao walio juu yetu.
Naona Ozil karejea vizuri.
 
Huyu babu anatuulia Gunner yetu.Ameishiwa bora tumpe Klopp timu atuletee mafanikio kama anavyofanya Dortmund hivi sasa.Mambo gani haya ya kuifunga timu mbovu kama Villa kwa goli 5 tu? Ilitakiwa ziwe kama 10 bila. Wenger out, Wenger out Wenger out.
 
Back
Top Bottom