Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

10389124_10152826413592713_3851079460132993486_n.jpg
 
Mzee Wenger alitoa agizo kwamba Francis Coquellin aanze kufanya mazoezi mepesi baada ya kuona vijana wa Brighton wameanza kumzungusha Mathieu Flamini.
 
Theo Walcott na Olivier Giroud wanatoka na Chuba Akpom na Alexis Sanchez wanaingia.

Dakika inakwenda ni ya 73
 
Safi sana Giroud na Walcott muhimu sana next match EPL ... ... ....
 
Zimebaki dakika 15 mpira kwisha na Francis Coquellin anajiandaa kuingia.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Francis Coquellin anaingia badala ya Mesut Ozil kujaribu kulinda goli kwenye dakika 10 za mwisho.
 
Szczesny nafasi yake ipo hati hati magoli ya kiwendawazimu tu baada ya kuji-commit ..... ... ...
 
  • Thanks
Reactions: BAK
lol!!!! hahahahahah ushindi wetu banaaa usihofu 🙂🙂...ulienda kutuchawia tufungwe? maana umepotea kipindi lol! hahahahaha

Mbona kiwewe tena usipanick mpendwa wangu....nasikitika kwa mbali na wewe....
 
Back
Top Bottom