Hakuna dhambi kumchapa mtu 6-0, na kutoa onyo kwa washiriki wengine.
CC: Honey Faith uko wapi banaaa?
Na sisi hatuna biashara za kurudiana kuwachosha wachezaji wetu,
Teh teh teh
Hahahahaha lol!!! Haya mambo ya akina nanihii! wasioweza kucheza na timu za mchangani 🙂
COYG
Together We Stand..
Hahahahaha lol!!! Haya mambo ya akina nanihii! wasioweza kucheza na timu za mchangani 🙂
Hahaha!! Kwenda zako na majungu yako,shauri yako mpira dakika 90.