Hahahahaha lol!!!! Eti majungu 🙂🙂 sema kama nimesema uongo, katimu kamchangani kamewatoa kijasho chembamba hata mgeongezewa 90 nyingine bado msingeziona nyavu zao labda nyie ndio mngelambwa bao lol!!!
Ahhh wapi!! Wasingefunga wenyewe walikamia sana kuzuia na ndo maana after game walishangilia sana kama vile wameshinda,at OT lazima tuheshimiane.......lol
Kwa timu ya mchangani ambayo bajeti yake ya mwaka mzima ni sawa na mshahara wa Di Maria kila baada ya siku 38 kutoa sare na MANU kwao ni achievement kubwa sana, hivyo walikuwa na haki ya kushangilia kama vile wameshinda kombe na msipokuwa waangalifu wiki ijayo basi mnaweza kuadhirika, they have nothing to lose...🙂 wakikuboa hao MANU karibu kwetu najua unatuhusudu 🙂🙂
Kwa timu ya mchangani ambayo bajeti yake ya mwaka mzima ni sawa na mshahara wa Di Maria kila baada ya siku 38 kutoa sare na MANU kwao ni achievement kubwa sana, hivyo walikuwa na haki ya kushangilia kama vile wameshinda kombe na msipokuwa waangalifu wiki ijayo basi mnaweza kuadhirika, they have nothing to lose...🙂 wakikuboa hao MANU karibu kwetu najua unatuhusudu 🙂🙂
Ahhh!!! Wapi love sana MANU huko kwenu nitakufa Zaidi kwa presha the Professor akianza kufanya yake......nyie lenu FA ndo size yenu mengine mtayasikia tu miaka nenda miaka rudi.