Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

that was a mature,controlled professional perfomance.......if arsenal can play like yesterday against top half oppositions you will win the league or ECL very soon, i would be proud if my team played like that....coquillin[??] ni mzuri sana DM, very composed anajua positioning sio kama flamini anaekimbiakimbia hovyo.....hongereni.

Pamoja sana mkuu dogo anacheza vizuri sana kuliko hata flamini but binafsi naamini bado ni mapema mno kuendelea kumuamini jumla nadhani itakuwa vyema sana kama mzed Wenger akisajili kiungo mkabaji mzuri na mwenye uzoefu ambaye atamsaidia bwana mdogo ajifunze mambo mengi zaidi kutoka kwake.
 
Hongereni sana..

Khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeee umekula kibano.

Doh! Day dreamer...
Nae bana huachi tu .... ...... .... MK Dons wanawachubiri alifu!


gun__1421655778_Coq.jpg


Moto wa kuotea mbali safi sana COYG
 
24D23DD900000578-2916692-image-a-7_1421671968031.jpg



24D6DA9600000578-2916692-How_Sportsmail_s_Neil_Ashton_rated_Arsenal_s_midfield_and_forwar-a-14_1421672305308.jpg


24D2356800000578-2916692-image-a-16_1421672359213.jpg



Francis Coquelin was also possibly worthy
of the man of the match accolade for his performance



24D1D47E00000578-2916692-image-a-17_1421672413996.jpg


Koscielny alikuwa akila kuku na Aguero


24D240F100000578-2916692-image-a-19_1421672489382.jpg


OG alikuwa moto


24D1DEDC00000578-2916692-image-a-20_1421672543835.jpg


Demichelis alikuwa haoni ndani


BTW OG wamempa 8.5 performance kwa mechi ya jana baada ya kuangalia
mtanange kwa mara nyingine maana alikuwa hot ... .


BTW Prof aliahidi jana baada ya game kwamba atatoa zawadi kwa wachezaji wake baada ya kuangalia mtanange tena, yaani according to performance, huenda nikawapa hii habari soon as it comes. COYG
 
Werawera Mtani jana mmetisha,mmecheza kandanda moja safi sana,kwa hilo hongereni sana,yaani nawapa mia mia,ila BAK mshukuruni sana Yaya Toure kukosekana,la sivyo mngechezea kichapo mtani,Man City bila Yaya Toure wanapata shida sana. Hongereni sanaaaaaa.

CC : adolay utafiti

Kama wao ni timu kubwa ni kosa la jinai kumtegemea mchezaji mmoja.
 
Kwa approach aloitumia babu j2 ndiyo ilokuwa inatakiwa kutumika mara zote akikutana na liva,man yuuu na Chelsea. Game yake na man yuuu na ile ya Chelsea alipoteza kwa kukosa mipango kama alotumia kwa man city
 
welcome bielik The versatile 17-year-old
Poland youth international can play
in both holding midfield and at
centre back
 
dili inasemekana kuwa around £20 million japo arsenal hawataki kutoa kiasi hicho.na mazungumzo bado yanaendelea kupunguza hyo bei...
 
zp_Bielik-25-150119PAFC_5129.jpg


Krystian Bielik is a "huge talent" who has shown "positive signs" in training, according to Arsène Wenger.

Kijana katulia ... ..... prof kachema kijana atawashangaza wengi ..... .... good buy. #COYG
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
zp_Bielik-25-150119PAFC_5129.jpg


Krystian Bielik is a ¡°huge talent¡± who has shown "positive signs" in training, according to Ars¨¨ne Wenger.

Kijana katulia ... ..... prof kachema kijana atawashangaza wengi ..... .... good buy. #COYG

kama kawaida yake kusajili mateenager!
si tunasubiri akue tunamchukua kiulaiini nae mje kumwita eskarioti!
GGMU
 
kama kawaida yake kusajili mateenager!
si tunasubiri akue tunamchukua kiulaiini nae mje kumwita eskarioti!
GGMU

Huo ndio tunaita wivu wa kike. khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
sisi na nyie nani ana wivu wa kike?!mkiongozwa na le pressori mkaona bora mpate hasara mkatubania vermaelen mkampeleka barca kwa bei ya kutupwaaa!
wakeuup goons!
GGMU
 
sisi na nyie nani ana wivu wa kike?!mkiongozwa na le pressori mkaona bora mpate hasara mkatubania vermaelen mkampeleka barca kwa bei ya kutupwaaa!
wakeuup goons!
GGMU

Wacha uongo, mkubwa wewe sasa .... ... khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee

Nafahamu unawashwa na hili kombe hapa chini .. . .. .. hulipati ng'ooooooooooooooooooooooooooooooooo


FA%20Cup%20trophy.jpg


Lipo limetulia Emirates ... .. ..
khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Back
Top Bottom