Piere. Fm
JF-Expert Member
- Mar 10, 2011
- 2,261
- 1,253
that was a mature,controlled professional perfomance.......if arsenal can play like yesterday against top half oppositions you will win the league or ECL very soon, i would be proud if my team played like that....coquillin[??] ni mzuri sana DM, very composed anajua positioning sio kama flamini anaekimbiakimbia hovyo.....hongereni.
Pamoja sana mkuu dogo anacheza vizuri sana kuliko hata flamini but binafsi naamini bado ni mapema mno kuendelea kumuamini jumla nadhani itakuwa vyema sana kama mzed Wenger akisajili kiungo mkabaji mzuri na mwenye uzoefu ambaye atamsaidia bwana mdogo ajifunze mambo mengi zaidi kutoka kwake.