![]()
Kijana naona anazidi kuimalika kila kukicha na nadhan itakuwa ni vema mzee wenger akisajili another DM wa kusaidiana na kuja kumpa dogo changamoto na ujuzi ili aimalike zaidi.
Yote kwa yote hongera kwa Gunners wote point 3 muhimu kuchukuliwa pale Etihad haikuwa kazi rahisi.
Hongereni Gunners kwa ushindi mzuri hakika leo mmecheza mpira...............
Ahsante sana Mkuu, leo najua fika kwamba wapenzi na mashabiki wa Chelsea na MANU wote watakuwa wanatushangilia kwa nguvu zote ili tupate ushindi dhidi ya Man City. CC: everlenk, Honey Faith, utafiti na wapenzi wote wa soka hapa jamvini. Wellbeck, Sachez, Walcott kama wote wataanza pamoja basi tutaiweka ngome yao kwenye pressure kubwa sana na lazima tuzione nyavu zao at least once before half time.
Hahaha everlenk ile kandanda ya jana ilinipa raha sana, sasa tunataka nafasi yetu so mjiandae kutoka hapo nne bora
Hahahaha!! Loh!! Hatoki hapo sisi tunataka turudishe nafasi yetu toka kwa Southampton ingawaje na yeye king'ang'anizi sana.
Yule nae anataka kucheza uefa kwaio inabidi man u asiende, inaweza kua ni arsenal, chelsea, man city na southampton
Yule nae anataka kucheza uefa kwaio inabidi man u asiende, inaweza kua ni arsenal, chelsea, man city na southampton
Aiseee una utani wa ngumi wewe ehh!! Yaani sisi tutoke? Nyie ndo mtatoka sisi moja kwa moja UEFA ombeni Southampton alegeze muingie.
Hatoki mtu hapo nyie ndo mtaachia safari hii jiji linaingiza timu 2,mna rekodi nzuri sana ya kila mwaka kuingia lakini matunda hamna embu tuachieni sisi angalau tutawaletea matunda,kismati kipo....Hahah kwa kawaida jiji la manchester inatoka timu moja kucheza uefa, sasa kama city atakupisha sijui....
everlenk "Mtoto yake nepi", man u kazoea mechi za mchangani zile za europa, mikiki ya ligi ya mabingwa ataweza wapi??Hatoki mtu hapo nyie ndo mtaachia safari hii jiji linaingiza timu 2,mna rekodi nzuri sana ya kila mwaka kuingia lakini matunda hamna embu tuachieni sisi angalau tutawaletea matunda,kismati kipo....