bora rosicky kuliko walcott.dogo hana akili ya mpira kabisa. angemuanzisha denilson nasri angekuja kulia ,diaby kushoto.Bubu Ataka Kusema
Naona Theo Walcott anaanza Wenger kapania leo.
Mkuu Wacha1, Tunamchapa mtu leo ndani ya nyumba yake.
bora rosicky kuliko walcott.dogo hana akili ya mpira kabisa. angemuanzisha denilson nasri angekuja kulia ,diaby kushoto.
kila siku drogba too ujinga mtupu.poor defending ,poor goalkeeping.
leo noma sana.wabovu sana kwenye kudefend kwenye counter attack.mabeki wetu wanapanda sana mpaka wanajisahau.Tulianza kushambulia nikapata matumaini lakini kwa speed hii si ajabu jamaa wakawa mbele nne bila wakati wa half time.
Nilikuwa nachek online link imecolapse kama unalink nzuri nipe niendelee kuburudika.Tulianza kushambulia nikapata matumaini lakini kwa speed hii si ajabu jamaa wakawa mbele nne bila wakati wa half time.
Nilikuwa nachek online link imecolapse kama unalink nzuri nipe niendelee kuburudika.
leo noma sana.wabovu sana kwenye kudefend kwenye counter attack.mabeki wetu wanapanda sana mpaka wanajisahau.
same same arsenal no plan b for AW.Ni kweli kabisa makosa yale yale tuliyofanya na MANU, nilidhani leo watayarekebisha lakini wapi! 🙁
same same arsenal no plan b for AW.
same same arsenal no plan b for AW.
Poa mkuu naona drogba bado analia na ninyi.Mkuu mimi naangalia kwenye TV
Poa mkuu naona drogba bado analia na ninyi.