rubaman
JF-Expert Member
- Sep 10, 2011
- 4,983
- 3,084
Sub za wenger hovyo sana
sub zinakuwa hovyo tusiposhinda. Typical Arsenal fans.
Sub za wenger hovyo sana
Tutasingizia refa kila siku.Goli kurudishwa huku madifenda wetu wanakwepa mpira inauuma sana.Kama kuna wa kulaumu ni walinzi wetu wazembe.
We miss Rambo, Ozil, Theo etc. Olivier Giroud will even be better .... ....... .... Welbeck its like he was not there, I'm sorry to say he was completely out of the match. Alexis, not his day. Carzola missed at the end of the game but he had a slightly good game.
BTW kuna watu wanajifanya kukosoa wakati hata mpira wenyewe wanategemea JF kufahamu nini kinaendelea.
Wewe kila siku unaota. Utaamka lini?Mara refa, mara majeruhi mara sijui nini. Umejitoa na ufahamu. Manu wana list ya Majeruhi kibao, hamna malalamiko na iko juu yenu. Kubali timu yako ni average at best. Ila hongereni, nyie ni watu wavumilivu sana. Ila dozi ndo zitaendelea, xmas fixtures utaendelea kusema majeruhi, watakapopona May hiyo mnagombea europa safari hii. Na kama ungekuwa unaujua mpira ungekuwa unakubali kuwa timu yako ni mbofu mbofu, hivyo hauujui isipokuwa unaweka mahaba mbele sana. Naiona Europa battle na Spurs kwa mbaaaaaaali.
100 mins corner for Gunners ... .. thats it 2 - 2 at least media watakuwa happy refa hakuwa na good game leo, we did not play as well as we would have liked ... .
Wewe kila siku unaota. Utaamka lini?Mara refa, mara majeruhi mara sijui nini. Umejitoa na ufahamu. Manu wana list ya Majeruhi kibao, hamna malalamiko na iko juu yenu. Kubali timu yako ni average at best. Ila hongereni, nyie ni watu wavumilivu sana. Ila dozi ndo zitaendelea, xmas fixtures utaendelea kusema majeruhi, watakapopona May hiyo mnagombea europa safari hii. Na kama ungekuwa unaujua mpira ungekuwa unakubali kuwa timu yako ni mbofu mbofu, hivyo hauujui isipokuwa unaweka mahaba mbele sana. Naiona Europa battle na Spurs kwa mbaaaaaaali.
We miss Rambo, Ozil, Theo etc. Olivier Giroud will even be better .... ....... .... Welbeck its like he was not there, I'm sorry to say he was completely out of the match. Alexis, not his day. Carzola missed at the end of the game but he had a slightly good game.
BTW kuna watu wanajifanya kukosoa wakati hata mpira wenyewe wanategemea JF kufahamu nini kinaendelea.
We miss Rambo, Ozil, Theo etc. Olivier Giroud will even be better .... ....... .... Welbeck its like he was not there, I'm sorry to say he was completely out of the match. Alexis, not his day. Carzola missed at the end of the game but he had a slightly good game.
BTW kuna watu wanajifanya kukosoa wakati hata mpira wenyewe wanategemea JF kufahamu nini kinaendelea.
In Wenger we trust
Rant ya kitoto. Kama uliangalia game leo ungegundua jamaa alichosema kipo spot on. Nadhani Arsenal tuna majeruhi wengi sasa hivi kuliko Man utd. Ni kweli na wao msimu huu walikuwa na majeruhi lakini wengi wao wameshapona ukilinganisha na Arsenal.
We miss Rambo, Ozil, Theo etc. Olivier Giroud will even be better .... ....... .... Welbeck its like he was not there, I'm sorry to say he was completely out of the match. Alexis, not his day. Carzola missed at the end of the game but he had a slightly good game.
BTW kuna watu wanajifanya kukosoa wakati hata mpira wenyewe wanategemea JF kufahamu nini kinaendelea.
Mawazo ya watu walioishiwa haya kusingizia refa na majeruhi kila siku
Hongereni. Naona na washabiki wengi wa Arsenal nionavyo comments zenu mmeshakubali matokeo kuwa nyie ni average team, mnaridhika na kuzifunga timu ambazo ni average kina newcastle. Pia record yenu siku hizi ni "W W D L L W D D W", hiyo ni record ya mid table team, ila naona mmeridhika, hongereni.
Bora umeongea ukweli defensive ni tatizo kubwa, ila hata kwa draw tu hongereni mlikuwa na nafasi kubwa ya kuchukua point 3.
BAK Si mbaya sana ila jana nilikwambia ukaguna umeona sasa ubonde wenu...hongereni lakin hata kwa hilo.
Nipo ila nina donge, kwanza tumecheza vibaya na tulistahili kufungwa, wakati nikidhani pamoja na kucheza vibaya tuneshinda wamefanya uzembe na hivyo kupoteza 2 points ambazo ni muhimu sana.
Kwa hiyo Man utd hamjawahi kusingizia refa na majeruhi?
Kama Yanga wanavyosingizia refa. iiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiihaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa, raha sana.
Yani mie mwenyewe nilidhani leo mna matumaini yakuondoka na point tatu hadi nikatoa ahadi yakushabikia arsenal endapo mkifunga ila too bad haikuwa hivyo
sub zinakuwa hovyo tusiposhinda. Typical Arsenal fans.