Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

gun__1419182271_mdgoal1_711x400-2.jpg
 
d5738c22-183f-44ff-8c96-8b04c1f07bbd-1020x740.jpeg

Fabio Borini of Liverpool is shown the red card by referee Michael Oliver
 
a31eb3bb-d0af-4fd0-b8ac-474b19290099-1020x676.jpeg

Martin Skrtel of Liverpool celebrates scoring his goal to make it 2-2
 
Haiwezekani kila siku visingizio vikawa kwa marefa tu majeruhi Man Utd msimu huu imekuwa na hali mbaya sana ya majeruhi kuliko Arsenal lakini kocha amekuwa akibadili mfumo na mbinu kulingana na Wachezaji alionao kwa wakati huo na kulingana na timu anayokabiliana nayo lakini Wenger hana huo uwezo mfumo wake ni huohuo mmoja kila siku awe na majerehi au asiwe nayo.

Mechi ya leo ilivyoanza Arsenal walikuwa wafungwe washukuru tu kocha wa liva hakustuka kufanya marekebisho pale mbele

Typical know nothing fans.Formation doesn't win you a match brother. Ni combination ya uzuri wa timu yako na ubovu wa opponent wako katika siku ya mechi. Inatakiwa uangalie mechi vizuri bila kuwa na bias ndiyo utagundua haya mambo. Tatizo la JF watu wengi wana analysis mpira ki-bias kuliko inavyotakiwa.Anyway ndo tatizo letu Waafrika sometimes tuna upeo mdogo katika soka. Jaribuni kuangalia jinsi watangazaji NBC sports, Skysports wanavyo analysis mechi bila kujali timu wanazozishabikia acheni na pundits wa sijui ITV, TBC DSTV, CTN/DTV(hawa watu bado wapo hewani?).
 
Back
Top Bottom