Pole kwa maumivu mkuu,kosa kubwa la wenger alilolifanya ni kumuuza vermalen name kutotafuta mbadala wake experienced sio hv vitoto na sagna as well, pia kipa leo kawaangusha kwa mtazamo wangu.
Pole kwa maumivu mkuu,kosa kubwa la wenger alilolifanya ni kumuuza vermalen name kutotafuta mbadala wake experienced sio hv vitoto na sagna as well, pia kipa leo kawaangusha kwa mtazamo wangu.
Mbu usijali Song na Cesc waliondoka kwa kuwa hawakuona mbali then wanataka kurudi wangetupa shida sana hawa, good riddance, T5 kaumia hatacheza kwa miezi karibia 5 hata angekuwa bado yupo, matatizo ya nyuma yatatatuliwa wakati Kos na Debuchy watakapokuwa wamepona inshallah in two weeks time, EPL bado kila timu inatafuta nafasi hakuna mechi mdebwedo, Ozil yupo Jan as a return date. Tutaona kama hawa wauza kashata wataweza mikiki mikiki. Chelsick were out foxed yesterday. Tutaona J1 new Castle Emirates ... ... .. .Alex hatacheza Uturuki kwa sababu ya mechi hiyo pamoja na kupumnzika .... ... .... .see you at the Emirates. COYG..........:coffee:......
Ex-Gunners wawili, Fabregas na Song ndio wanaosaidia current team zero kwa sasa (Chelsea, na West Ham)
ilikuwa kosa kubwa sana Arsene Wenger kuwatilia nyodo wasirudi nyumbani kuimaarisha Squad,.....mbaya zaidi,
team zote hizo zipo juu ya Arsenal kwa sasa....
Mimi naungana na woooote wasemao huyu Mzee wetu kidogo 'kibr' kinaifanya team ichechemee....
Hatukatai team kufungwa ni sehemu ya mchezo, ila team mwisho inaangaliwa kwa mafanikio ya
vikombe, sio Top four finish.
Nadhani Chamber anaongoza kwa kupokea vyeti msimu huu.Wenger nenda tu tuachie timu yetu.game ilikuwa tamu sana.....
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
.........:coffee:......
Ex-Gunners wawili, Fabregas na Song ndio wanaosaidia current team zero kwa sasa (Chelsea, na West Ham)
ilikuwa kosa kubwa sana Arsene Wenger kuwatilia nyodo wasirudi nyumbani kuimaarisha Squad,.....mbaya zaidi,
team zote hizo zipo juu ya Arsenal kwa sasa....
Mimi naungana na woooote wasemao huyu Mzee wetu kidogo 'kibr' kinaifanya team ichechemee....
Hatukatai team kufungwa ni sehemu ya mchezo, ila team mwisho inaangaliwa kwa mafanikio ya
vikombe, sio Top four finish.
Ninacho wapendea mashabiki wa Arsenal, hawana timu, lakini ni majeuri kishenzi.
![]()
Fujo kama hizi hawawezi kuzileta Emirates ... ... ... .
Mkuu maamuzi ya Manager yanapaswa kuheshiwa! Huwezi jua alipanga hivyo kutokana na mbinu ya kukabiliana na Hiyo timu!
Mimi naamini bado Mko vzr tu ila ni matatizo ya Hapa na pale tu ndo yanaleta shida!
Pole kwa maumivu mkuu,kosa kubwa la wenger alilolifanya ni kumuuza vermalen name kutotafuta mbadala wake experienced sio hv vitoto na sagna as well, pia kipa leo kawaangusha kwa mtazamo wangu.
Sikutegemea kama uwezo wako wa kufikiria ndo mdogo kiasi hiki.,au umeandikiwa hii comment??
Benitez Rafael, huyu jamaa hutoa timu from zero to hero
Naamini wenger hawezi kutimuliwa ila ataondoka mwenyewe kwa sababu anaipa klabu mafanikio ya kiuchumi.waswahl wanasema bora lawama kuliko fedheha,kama wenger anawashauri wazuri inabd wamshauri aondoke mwisho wa msimu akatafute maisha mapya na challenge mpya ila i bet wenger akiondoka mtatetereka pia,mpk mpate level mnayoitaka coz atakuja mtu mwenye mbinu mpya,philosophy mpya na kikubwa zaidi atahtaj ayazoee mazngra
Tutatetereka mara ngapi?? Tumeshatetereka toka 2005 mpaka sasa. Ishu, wenger hawezi fukuzwa, ni yeye atumie busara zake mwenyewe kutoka, ila naye HAWEZI ondoka. Ni mbishi, kageuza timu yake sababu ya alivyoinufaisha kiuchumi.
Are you sure na Tony Adams?
Asante kwa salamu, tuko poa, ndo mpira huo, giza likizidi, ujue asubuhi inakaribia. Mna kibarua St. Mary hapo, jipangeni hapo hamtoki. Rekodi yenu ya ugenini ni balaa!