mwanguku amanyisye
Member
- May 26, 2014
- 16
- 5
Coaches are hired to be fired
That's true Bro. Na wenger anastahili kikombe hiki kukinywa
Coaches are hired to be fired
mkuu amini kwamba hakuna marefu yasiyo na ncha,ni ukweli kwamba mwaka jana kama wenger asingechkua fa bas yeye mwenyewe ngeondoa emirates,iangalie video uone hali imefikia mbay kiasi gani kwa wenger na baadhi ya mafans wa arsenal wakimzomea baada ya kichapo cha juzi cha 3 kwa 2Tutatetereka mara ngapi?? Tumeshatetereka toka 2005 mpaka sasa. Ishu, wenger hawezi fukuzwa, ni yeye atumie busara zake mwenyewe kutoka, ila naye HAWEZI ondoka. Ni mbishi, kageuza timu yake sababu ya alivyoinufaisha kiuchumi.
unazidi kudhihirisha kwamba uwezo wako wa kufkria ni mdogo kwa kumuattack mtu badaa ya mada a msingi,by the way timu yangu ni man u na sio ya vichochoroni tumewafunga nje ndani na pia sibadili majina account yangu ni ileile Mndengereko and it will always be MndengerekoNa wewe uwezo wako ni wa kubadili majina kama kinyonga unaibuka kwa msimu, Wenger ameshinda Gold premiership niambie tangu EPL imeanza nani kashinda hivyo? Wacha ngebe! Nafahamu timu yako ya vichochoroni hata kuisema huwezi unaibuka tu kama uyoga khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
hapana mkuu hata kwa man u majeruhi wengi tu wastani ila match tatu majeruhi mmoja it weird, kwa kikosi chembamba sidhani tatizo ni kupaa players ambao wana sprit ya usindi all the time hawasubiri kuwa motivated mkifanikiwa juu ya hilo mtakuwa mko mahali pazuriKikosi chetu ni chembamba sana alafu ukitoa Sanchez, ni cha kawaida kabisa, yaani level ya kina Swansea ndo saizi yetu siku hizi. Yaani inafika wakati Arsenal kushinda mechi 3 mfululizo ni miujiza. Pia sielewi, inakuwaje ni Arsenal tuu ndo inaandamwa na majeruhi mengi, kuna kitu hakiko sawa kwenye benchi la ufundi!
Hama timu, club sio mama wala baba.
....hahahahahahahahhhhaa!........ahame kama yule Ngongo?!!....
Mzee Le Professeur knows better.
COYG, leo tupo Ugiriki kukamilisha ratiba,
kisha FA Cup kutetea ubingwa wetu....
Msisahau pia sie ndiye washindi wa ngao ya jamii! :coffee:
......hawa Nzi, na wengineo hawamo Champions League, Europa, wala lile kombe
jingine la mbuzi, (sijui Carling Cup vile?.....)....na draw yao ya FA cup wanacheza na Chelsea...
2014/15 watabakia watizamaji tu.
3-0 to Arsenal.
![]()
Chipukizi wa Gunners wamechukuliwa kwenda Turkey
Kukwaana na Gala ... .. .
Leo hata tushinde goli 5 haitaondoa machungu ya kipigo cha weekend iliyopita.