Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Hii timu pasua kichwa kama wanawake, poleni sana wadau wa asenali. Alafu nimekuja tambua washabiki wengi wa asenali ni vimbaumbau, nafikiri stress inawala. Poleni. One day yes.
 
Tutatetereka mara ngapi?? Tumeshatetereka toka 2005 mpaka sasa. Ishu, wenger hawezi fukuzwa, ni yeye atumie busara zake mwenyewe kutoka, ila naye HAWEZI ondoka. Ni mbishi, kageuza timu yake sababu ya alivyoinufaisha kiuchumi.
mkuu amini kwamba hakuna marefu yasiyo na ncha,ni ukweli kwamba mwaka jana kama wenger asingechkua fa bas yeye mwenyewe ngeondoa emirates,iangalie video uone hali imefikia mbay kiasi gani kwa wenger na baadhi ya mafans wa arsenal wakimzomea baada ya kichapo cha juzi cha 3 kwa 2
to some extent inakera as a manager na inakuondolea hamu ya kufanya kazi
 
Last edited by a moderator:
Na wewe uwezo wako ni wa kubadili majina kama kinyonga unaibuka kwa msimu, Wenger ameshinda Gold premiership niambie tangu EPL imeanza nani kashinda hivyo? Wacha ngebe! Nafahamu timu yako ya vichochoroni hata kuisema huwezi unaibuka tu kama uyoga khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
unazidi kudhihirisha kwamba uwezo wako wa kufkria ni mdogo kwa kumuattack mtu badaa ya mada a msingi,by the way timu yangu ni man u na sio ya vichochoroni tumewafunga nje ndani na pia sibadili majina account yangu ni ileile Mndengereko and it will always be Mndengereko
 
Last edited by a moderator:
Kikosi chetu ni chembamba sana alafu ukitoa Sanchez, ni cha kawaida kabisa, yaani level ya kina Swansea ndo saizi yetu siku hizi. Yaani inafika wakati Arsenal kushinda mechi 3 mfululizo ni miujiza. Pia sielewi, inakuwaje ni Arsenal tuu ndo inaandamwa na majeruhi mengi, kuna kitu hakiko sawa kwenye benchi la ufundi!
hapana mkuu hata kwa man u majeruhi wengi tu wastani ila match tatu majeruhi mmoja it weird, kwa kikosi chembamba sidhani tatizo ni kupaa players ambao wana sprit ya usindi all the time hawasubiri kuwa motivated mkifanikiwa juu ya hilo mtakuwa mko mahali pazuri
 
Hama timu, club sio mama wala baba.

....hahahahahahahahhhhaa!........ahame kama yule Ngongo?!!....
Mzee Le Professeur knows better.

COYG, leo tupo Ugiriki kukamilisha ratiba,
kisha FA Cup kutetea ubingwa wetu....

Msisahau pia sie ndiye washindi wa ngao ya jamii! :coffee:
......hawa Nzi, na wengineo hawamo Champions League, Europa, wala lile kombe
jingine la mbuzi, (sijui Carling Cup vile?.....)....na draw yao ya FA cup wanacheza na Chelsea...

2014/15 watabakia watizamaji tu.
 
  • Thanks
Reactions: Nzi
....hahahahahahahahhhhaa!........ahame kama yule Ngongo?!!....
Mzee Le Professeur knows better.

COYG, leo tupo Ugiriki kukamilisha ratiba,
kisha FA Cup kutetea ubingwa wetu....

Msisahau pia sie ndiye washindi wa ngao ya jamii! :coffee:
......hawa Nzi, na wengineo hawamo Champions League, Europa, wala lile kombe
jingine la mbuzi, (sijui Carling Cup vile?.....)....na draw yao ya FA cup wanacheza na Chelsea...

2014/15 watabakia watizamaji tu.

CHELSEA Vs WATFORD...

FA Full draw:

Arsenal v Hull City

Southampton v Ipswich

Stoke v Wrexham

Charlton v Blackburn

Dover v Crystal Palace

AFC Wimbledon v Liverpool

Manchester City v Sheffield Wednesday

Aldershot/Rochdale v Nottingham Forest

West Brom v Gateshead

Blyth Spartans v Birmingham

Aston Villa v Blackpool

Rotherham v Bournemouth

Huddersfield v Reading

Oxford/Tranmere v Swansea

Cardiff v Colchester

Bolton v Wigan

Sunderland v Leeds

Burnley v Tottenham

Millwall v Bradford

Derby v Southport

Brentford v Brighton

Fulham v Wolves

Leicester v Newcastle

Scunthorpe/Worcester v Chesterfield

Everton v West Ham

Cambridge/Mansfield v Bury/Luton

Chelsea v Watford

Barnsley/Chester v Middlesbrough

QPR v Sheffield United

Accrington/Yeovil v Manchester United

Preston v Norwich

Doncaster v Bristol City
 
23E7C8C700000578-0-image-a-16_1418121148848.jpg


Chipukizi wa Gunners wamechukuliwa kwenda Turkey
Kukwaana na Gala ... .. .
 
1418154684579_lc_galleryImage_ISTANBUL_TURKEY_DECEMBER_.JPG


Kikosi kilichoanza mtanange leo ... ... ... . ..


1418155178754_lc_galleryImage_Arsenal_s_Lukas_Podolski_.JPG


Luca Podolski baada ya kuweka chuma wavuni ... .. .


1418155420956_lc_galleryImage_ISTANBUL_TURKEY_DECEMBER_.JPG


Ramsey akiweka chuma cha pili ... ...


1418155882444_lc_galleryImage_REFILE_CORRECTING_PLAYER_.JPG


High five's all the way ... .. .

1418156200363_lc_galleryImage_ISTANBUL_TURKEY_DECEMBER_.JPG


Rambo is coming back ... ....


1418156548280_lc_galleryImage_ISTANBUL_TURKEY_DECEMBER_.JPG


What a belter from Ramsey ... .. ..


1418156548280_lc_galleryImage_ISTANBUL_TURKEY_DECEMBER_.JPG


Akishangilia goli la tatu . ... .... .
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Second half underway with youngsters coming in ... ... .. . . COYG
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
_79623388_ramsey_celebrate_hero_reuters.jpg




Gedion Zelalem comes for Mathieu Flamini and Aaron Ramsey
makes way for Ainsley Maitland-Niles.
Full debut for both players at the age of 17.
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Nasikia Mafarisayo ooops Mfarisayo, pamoja na Nzi wananyatia hii thread kusubiri Gunners wapoteze mchezo .. ... Thubutu! khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee Ngongo yeye kasepa na Prondo wake ... . .
 
Leo hata tushinde goli 5 haitaondoa machungu ya kipigo cha weekend iliyopita.

Hiyo ishapita, ni historia sasa hatuwezi ibadili, tuangalie mbele ingawa bado yatuuma. Sijui kwa nini kwenye ligi hatuchezagi kama dk 45 za mwanzo leo. Tumecheza poa sana!
 
Back
Top Bottom