Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Wakuu wa Gunners kwanza lazima mfahamu sera za club sio kulaumu tu bila kuzifahamu. Wachezaji wengi tu wanataka walipwe pesa nyingi Judas alitaka £12 million kwa mwaka moja ikabidi auzwe kama mmesikia Manure wanataka kumtema kutokana na mkataba wa kumlipa bonus ya £10 million kabla ya muda ... .. .

Gunners sio kisima cha kutumia and bust up hizi ni pesa ambazo watu wamefanyia kazi ndio sababu kiingilio kikubwa kutokana na madeni (Kujenga uwanja etc). Sio kwa sababu club ina pesa basi ianze kulipa mishahara mikubwa tu kwa sababu mchezaji anahitaji mshahara mkubwa No way, hata wewe kama una kampuni yako huwezi kuiongoza namna hiyo. Hivi sasa mishahara ya Gunners ni mikubwa imepitwa kidogo tu na Chelsick ambao pesa wanachota kwenye kisima cha unga.

Kama mafanikio ni kulipa pesa nyingi kwa wachezaji basi wasiotaka wahamia kwenye pesa za unga kule kwenye Cowshed au Etihad au Manure wanaodaiwa hata Jezi. Tumekuwa na majeruhi tu, ndio mchezo huo at the moment mambo ndio hivyo na mwezi May tutaanza kuongelea where we went wrong, huwezi ku-judge kwa hivi sasa kwa sababu hufahamu nini kitatokea huko mbeleni at the moment le prof haendi kokote whether you like it or not. COYG that is prudent Arsene.

JF saa zingine inafurahisha sana, wameshindwa kina Adrian et al ambao wamekuwa kwenye radio for years and the topic ni Wenger every day of the week na media machine ya UK kumng'oa Prof itakuwa hadithi za JF. Yes the team is not doing well at the moment but we aren't dead and buried. Thats why the media talks about Arsenal more than any other club in the UK.

" Hivi sasa
mishahara ya Gunners ni mikubwa
imepitwa kidogo tu na Chelsick "

mmetumia more than 100 millions kusajili for the last three season,sijui unazitoa wapi excuses za kwa nini msishinde major trophies,
 
  • Thanks
Reactions: Nzi
Wacha kwa kweli hana uwezo wa kufikiria yani utetezi wake upo kwa kuumia mabeki wawili tu, je Arsenal ingekuwa na majeruhi ya mabeki kama Man Utd hali ingekuwaje maana leo hii Man Utd Valencia na Young ni mabeki sio namba zao kuna Mara nyingi timu inamtumia Carrick kama beki tano kutokana na majeruhi.

Kuna mambo mengi ambayo kocha alipaswa kuyafanya hata kama timu ikifungwa watu wangeoona kweli kuja juhudi zinafanyika moja ni mbinu ya mchezo haiwezekani kocha akawa anatumia mbinu moja kwa kila mechi bila kuangalia adui anayekutana naye, haiwezekani Arsenal kuifunga Chelsea kwa mbinu wanayotumia kuifunga West Brom.

Na kubwa kuliko yote ni kuwa kitendo cha kufungwafungwa hovyo kunaondoa fear factor kwenye timu na matokeo yake hata wakipona hao majeruhi bado timu itaendelea kufungwa kwa kuwa hata timu ndogo zitakuwa hazina hofu na Arsenal. Kurudisha fear factor kwenye timu ni kazi kubwa na gharama kubwa kama ilivyo kwa Man Utd sasa hivi ndo maana kocha analazimika kusajili kwa gharama kubwa wachezaji wakubwa.
 
Wakuu mzee wetu amefika mwisho huo ndo ukweli mchungu, Mkuu Wacha kwa sasa hivi Gunners tumezidi Chelsea kwa mishahara. hatuna uwezo wa kuifunga Chelsea, Man u hata tukicheza wiki ni kutokana na mbinu mbovu za kocha.
 
Kuanza upya si ujinga, kila mechi sasa hivi ni Big Mechi hakuna mechi ambayo tunauhakika na ushindi. Timu ina unga unga. Zama za Wenga zimepita, afu medical department yetu ina matatizo haiwezekani majeruhi nusu ya timu kila Mara.
 
23CFBC8C00000578-0-image-m-2_1417889301443.jpg


Fujo kama hizi hawawezi kuzileta Emirates ... ... ... .

Kheeeeeee mambo ya kitoto sana hayo unapigwa mtaani unaanza kusema usipite/usije kwetu utaona. We kama wa kupigwa ni wakupigwa tu haijalishi upo nyumbani au ugenini. I cant wait game ijayo tena lazima uchapwe
 
Ni Sanchez, Carzola na Koscheny ndo angalau wanaweza kalia bech la timu kubwa km Bayern, Barca, Madrid, hata timu kama Chelsea na Man City hakuna mchezaji wa kupata no. Hata kucheza Uefa hakuna maana ya kushiriki second round kila timu itakua inaomba ipagwe na Arsenal, mpaka Wenga amalize mkataba wake tutakua tumedhalilika sana.....I'm so heartless.
 
wenger is a finished article, no brainer to see he is finished....let him f***k off for good

Arsenal zamani tulikuwa na TECHNICAL PLAYERS wasiokaba wasiozidi wawili....i mean Dennis na Pires

Vieira, Lauren, Cole, Campbell, Gilberto wote walikuwa steel...

litimu amejaza WACHEZAJI wazuri ila nyororo...too fragile and too weak when under pressure...still hamna DEFENSIVE MIDFIELDER wa kuzuia na kufanya Protection....


santi,Ozil,Risicky, Theo, oxlade, Podoski wote hawa ni Lazy and technical players mambo ya kudefend hayawahusu kabisa

wenger aondoke...end of the season otherwise LEGACY YAKE IKO KWENYE MTIHANI....
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Bacary Sagna pia kumkatalia ombi lake la mshahara mkubwa ilikuwa kosa kubwa sana. Jamaa ni mchezaji mzuri sana, angalia sasa hivi tunavyotapatapa kwenye defence. Kuna mechi moja kama sikoei mwaka jana kulikuwa na majeruhi watatu au wane kwenye defence, Sagna akacheza kama centre half, alicheza vizuri sana. It is time to get rid of Wenger (before the end of this season)

No no...hauwezi kuondoa kocha mwanzo wa msimu...itakuwa even worst wamvumilie end of the season ajing'atue mwenyewe tuanze upya ...to be honest no body will dare to tell him to leave except FANS

the old man is undisputed there board room nzima wanangwaya....na wanaogopa sana changes

akwendeeeeeeee....i love him but i am beginning to hate him so much ....kenge madoa yule
 


wameanza na kumkosea heshima kwa upuuzi wake JANA hiyo wamemsubiri mpaka ametoka uwanjani amekutana na ANGRY FANS na matusi na BOOOS!!!!

shabiki wa Arsenal anayesema bado Arsene ni kocha mzuri aendelee arsenal yuko DELUDED
 
Last edited by a moderator:
Mwenzenu sina hata chakuongea! arsenal niliyoanza kuishabikia sio hii kabisa'Mzee Wenger katuharibia sana timu anauza best players ananunua average tena wanaotakiwa kujifunza!anauza nguzo za timu kwa kushindwa tu kuishawishi bodi iongeze mishahara kwa wahusika na hafanyi replacement inayoendana,ameshatutengenezea rekodi mbovu za timu kufungwa goli nyingi hovyohovyo na haonyeshi kulifanyia kazi hilo.jamani ee enough is enough arsenal ya Leo ni timu nyanya iliyopoteza kabisa sifa za kushindana,ushindi kwetu ni kama tunabahatisha tu sioni kitakacho nifanya niendelee kumkumbatia Wenger.enough is enough
 
FA Full draw:

Arsenal v Hull City

Southampton v Ipswich

Stoke v Wrexham

Charlton v Blackburn

Dover v Crystal Palace

AFC Wimbledon v Liverpool

Manchester City v Sheffield Wednesday

Aldershot/Rochdale v Nottingham Forest

West Brom v Gateshead

Blyth Spartans v Birmingham

Aston Villa v Blackpool

Rotherham v Bournemouth

Huddersfield v Reading

Oxford/Tranmere v Swansea

Cardiff v Colchester

Bolton v Wigan

Sunderland v Leeds

Burnley v Tottenham

Millwall v Bradford

Derby v Southport

Brentford v Brighton

Fulham v Wolves

Leicester v Newcastle

Scunthorpe/Worcester v Chesterfield

Everton v West Ham

Cambridge/Mansfield v Bury/Luton

Chelsea v Watford

Barnsley/Chester v Middlesbrough

QPR v Sheffield United

Accrington/Yeovil v Manchester United

Preston v Norwich

Doncaster v Bristol City
 
Mwenzenu sina hata chakuongea! arsenal niliyoanza kuishabikia sio hii kabisa'Mzee Wenger katuharibia sana timu anauza best players ananunua average tena wanaotakiwa kujifunza!anauza nguzo za timu kwa kushindwa tu kuishawishi bodi iongeze mishahara kwa wahusika na hafanyi replacement inayoendana,ameshatutengenezea rekodi mbovu za timu kufungwa goli nyingi hovyohovyo na haonyeshi kulifanyia kazi hilo.jamani ee enough is enough arsenal ya Leo ni timu nyanya iliyopoteza kabisa sifa za kushindana,ushindi kwetu ni kama tunabahatisha tu sioni kitakacho nifanya niendelee kumkumbatia Wenger.enough is enough


Hama timu, club sio mama wala baba.
 
Wacha1 kila mmoja ana uhuru wakutoa maoni yake na jinsi anavyofeel kuhusu wenger wote tumeanza ishabikia Arsenal toka kitambo sana tunafaham Wenger katutoa wapi but hiyo sio excuse ya kuendelea kuvumilia haya madudu ya sasa about 5th season consecutively tupo vilevile hata hao wengine wakipona hamna kitu timu yetu nyepesi sana, uwezo wetu ni wakufanana na timu ndogo kama Swansea na Leicester kiukweli huyu kocha anajipya kwasasa kama hatoachia ngazi abadili sera zake za usajili coz baada tu ya usajili unapata clear picture Arsenal itakuaje now days
 
Wacha1 kila mmoja ana uhuru wakutoa maoni yake na jinsi anavyofeel kuhusu wenger wote tumeanza ishabikia Arsenal toka kitambo sana tunafaham Wenger katutoa wapi but hiyo sio excuse ya kuendelea kuvumilia haya madudu ya sasa about 5th season consecutively tupo vilevile hata hao wengine wakipona hamna kitu timu yetu nyepesi sana, uwezo wetu ni wakufanana na timu ndogo kama Swansea na Leicester kiukweli huyu kocha anajipya kwasasa kama hatoachia ngazi abadili sera zake za usajili coz baada tu ya usajili unapata clear picture Arsenal itakuaje now days

Coaches are hired to be fired
 
Back
Top Bottom