Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Wenger ni tatizo kwa kweli, sina raha kabisa na hii timu.
 
Khe khe klhe he khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee nicheke mie sasa watu wanamshambulia Prof ati ndio tatizo swala nawauliza nani anaweza kufanya kazi anayofanya, hakuna anayesema wote wanavizia media za UK waseme kisa wivu wa kike unawasumbua. Come on you Gunners. Si hao Chelsick wanaabudiwa mbona leo wamechezea kichapo khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee ligi bado ndefu hii mimi wala sina shaka anayefikiri premier league inachukuliwa November shauri yake huyo ni 'ngeni.


 
Yani kocha wa Stock alisema kabisa i will adopt the system used by Man Utd and Chelsea to be Chelsea na kafanikiwa

So what? Wenzio tuna kwenda kucheza kwenye CL wewe na kocha wako wa Stokes mko wapi? Sio huyo huyo kocha alikuwa Mancs, QPR etc kisa ni mwingereza pambafu zenu kabisa hana lolote, kakuta tuna majeruhi tu .... ...... .. . watch return game at the Emirates tutamcharaza kama kuku.
 
I appreciate your positivity. You are a true gooner.

Mkuu usiwe na wasi wasi timu inaongozwa na wasomi sio wezi wa pesa za walalahoi kama yule mwizi kutoka urusi ambaye hana hata ushuhuda au yule mwarabu wa Mancs. Huwa hatutegemei ushindi wa brown envelopes we are a bit short lakini wachezaji wengi wanarejea hii January watch this space.

Prof haendi kokote fact watachema usiku watalala. COYG wachana na hawa mashabiki koko walioanza kushabikia timu kutoka JF, wengi hata hawawezi kuona soka live linavyochezwa wamebakia kuwa vizabinazabina tu.
 
Wewe just piss of utafikiri unalipwa na Arsene. Kuwa positive nakutetea ubovu ni mambo mawili tofauti.Kama una Arsenal fans TV tune uone legends wanavyokandia kwa azma ya kurekebisha. Sio makosa yanatendeka tukae kimya kama sheep.
 
Wewe just piss of utafikiri unalipwa na Arsene. Kuwa positive nakutetea ubovu ni mambo mawili tofauti.Kama una Arsenal fans TV tune uone legends wanavyokandia kwa azma ya kurekebisha. Sio makosa yanatendeka tukae kimya kama sheep.

What do you mean? Haya hebu twambie kosa la Wenger? Ati kutetea ubovu hebu weka hapa ubovu wa Wenger? Legends ambao wanalipwa na redio mbao kila uchwao wanalilia waje Gunners kuchafua, (nyinyi ndio makuwadi wa kina Adrian et al) wapo ambao wanajulikana walevi wa kutupwa unafikiri watapewa fursa hao, mkuu Gunners inaongozwa sio kwa ubabaishaji, hakuna timu sasa hivi kwenye EPL ambayo isingependa kuwa na ubavu wa Gunners kuanzia facilities na training methods. Haya tupe ubovu wa Le prof.
 
So what? Wenzio tuna kwenda kucheza kwenye CL wewe na kocha wako wa Stokes mko wapi? Sio huyo huyo kocha alikuwa Mancs, QPR etc kisa ni mwingereza pambafu zenu kabisa hana lolote, kakuta tuna majeruhi tu .... ...... .. . watch return game at the Emirates tutamcharaza kama kuku.

Kwisha habari yako umefilisika wewe povu jingiii, matusi ya nini sasa??? Kheeeeeeee poleni majeruhi mnao nyio peke yenu tu!!!!!
 
  • Thanks
Reactions: Nzi

What do you mean? Haya hebu twambie kosa la Wenger? Ati kutetea ubovu hebu weka hapa ubovu wa Wenger? Legends ambao wanalipwa na redio mbao kila uchwao wanalilia waje Gunners kuchafua, (nyinyi ndio makuwadi wa kina Adrian et al) wapo ambao wanajulikana walevi wa kutupwa unafikiri watapewa fursa hao, mkuu Gunners inaongozwa sio kwa ubabaishaji, hakuna timu sasa hivi kwenye EPL ambayo isingependa kuwa na ubavu wa Gunners kuanzia facilities na training methods. Haya tupe ubovu wa Le prof.

Prof. Mr bean asiondoke bwana tutapata wapi timu ya kutupa point 6/4 kiulaini hata tukichezesha timu B zaidi ya timu ya Prof????
 

Prof. Mr bean asiondoke bwana tutapata wapi timu ya kutupa point 6/4 kiulaini hata tukichezesha timu B zaidi ya timu ya Prof????

Read below ... ... khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee

Kwisha habari yako umefilisika wewe povu jingiii, matusi ya nini sasa??? Kheeeeeeee poleni majeruhi mnao nyio peke yenu tu!!!!!

Wewe timu yako iko wapi? Out of CL umebaki kubangaiza tu, unafikiri kocha wa Stoke au Manure Van Gaffe wanaweza kupata mafanikio ya kocha msomi? khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee MK dons wanawachubiri khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee

Hivi timu yako ilishinda Gold cup (EPL) mwaka gani?
 

What do you mean? Haya hebu twambie kosa la Wenger? Ati kutetea ubovu hebu weka hapa ubovu wa Wenger? Legends ambao wanalipwa na redio mbao kila uchwao wanalilia waje Gunners kuchafua, (nyinyi ndio makuwadi wa kina Adrian et al) wapo ambao wanajulikana walevi wa kutupwa unafikiri watapewa fursa hao, mkuu Gunners inaongozwa sio kwa ubabaishaji, hakuna timu sasa hivi kwenye EPL ambayo isingependa kuwa na ubavu wa Gunners kuanzia facilities na training methods. Haya tupe ubovu wa Le prof.

Ugonjwa wa maliria ni hatari sana hasa yakipanda kichwani
 
  • Thanks
Reactions: Nzi
Kutokuwa na plan B. Kila mtu hata asiye na utaalamu wa coaching anajua wazi ukiwa physical dhidi ya Arsenal basi hatuna plan mbadala. Ndio maana tunapata shida tunapocheza na timu zinazotumia nguvu. Upangaji wa timu unakuwa wa majaribio.Defensive strategy haipewi umuhimu wakati Bould yupo lakini hasikilizwi inavyopaswa. Msimu uliopita kulikuwa na tatizo baina ya Bould na Wenger baada ya kufungwa goli 6 na Chelsea kuhusu defensive tactics.
 
Kutokuwa na plan B. Kila mtu hata asiye na utaalamu wa coaching anajua wazi ukiwa physical dhidi ya Arsenal basi hatuna plan mbadala. Ndio maana tunapata shida tunapocheza na timu zinazotumia nguvu. Upangaji wa timu unakuwa wa majaribio.Defensive strategy haipewi umuhimu wakati Bould yupo lakini hasikilizwi inavyopaswa. Msimu uliopita kulikuwa na tatizo baina ya Bould na Wenger baada ya kufungwa goli 6 na Chelsea kuhusu defensive tactics.

Wakulipe wewe basi £8 million kwa mwaka kama unaweza mbona unakesha JF? Huyo huyo Chelsick mbona tushamfunga mara nyingi tu au hufahamu?

Ugonjwa wa maliria ni hatari sana hasa yakipanda kichwani

Point zikikushinda unaanza kuweweseka, khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeee Aibu mtu mzima na akili zake anaanza kuweweseka kwenye forum. khe khe kje khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Wewe timu yako iko wapi? Out of CL umebaki kubangaiza tu, unafikiri kocha wa Stoke au Manure Van Gaffe wanaweza kupata mafanikio ya kocha msomi? khe keh khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee MK dons wanawachubiri khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee

Hivi timu yako ilishinda Gold EPL cup mwaka gani?

Kweli Van Gal hana mafanikio zaidi ya Prof. kufanywa mteja wa kudumu miaka ya mtoto kuanza vidudu hadi kumaliza la saba sio mchezo ni mafanikio makubwa sana. Pia kushiriki tu UEFA nayo ni mafanikio lazima mjivunue.
 
  • Thanks
Reactions: Nzi
Wakulipe wewe basi £8 million kwa mwaka kama unaweza mbona unakesha JF? Huyo huyo Chelsick mbona tushamfunga mara nyingi tu au hufahamu?



Point zikikushinda unaanza kuweweseka, khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeee Aibu mtu mzima na akili zake anaanza kuweweseka kwenye forum. khe khe kje khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee

kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee sasa ndo unalia!!!!!
 
  • Thanks
Reactions: Nzi
Mkuu I rest my case. Nilifikiri nabadilishana mawazo na gooner mwenzangu. Baridi kali ya Alaska muda huu inaadhiri watu wengi wasiweze kufikiri rationally bali wageukie matusi na kejeli.
 
Ninacho wapendea mashabiki wa Arsenal, hawana timu, lakini ni majeuri kishenzi.
 
Mkuu I rest my case. Nilifikiri nabadilishana mawazo na gooner mwenzangu. Baridi kali ya Alaska muda huu inaadhiri watu wengi wasiweze kufikiri rationally bali wageukie matusi na kejeli.

Hamna kitu hapo kaishiwa point huyo
 
Back
Top Bottom