Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Defending haipo kabisa Kos ataingia kipindi cha pili ingawaje hayuko fit ....... ....... tutaona second half.
 
Teh teh teh... jaman hii timu uwa inaongoza kuuwa mashabiki wake hivyo hapa cha msingi ni kutiana matumaini maana najua jamaa zangu umu tayari presha imepanda kwa kasi ya kimbunga...arsenal msikate tamaa mpira dakika 90 bana
 
Hmmmm! Hii mechi imeshakuwa ngumu kuliko ilivyostahili. Ngoja tuendelee kuangalia kama tutafanikiwa kutoa draw au hata kushinda, vinginevyo kelele za kumtema Wenger zitazidi kuongezeka kwa nguvu.

........:coffee:
 
Back
Top Bottom