Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

i
 
Gunners wanawanyima usingizi wengi sana, sisi hatuna wasi wasi tunaweza kupoteza mechi kama hii ambayo ina historia yake pamoja na majeruhi tuliyonayo, magoli matatu si chochote kwa timu yetu ngoja tuone second half mpira ni dakika 90 ... ... . . COYG.


Welbeck in for Bellerin .... ... .. ..

Comrade Wacha...

Tukubali tukatae..Ukweli ni kwamba timu yetu sasa hivi ni ya hovyo kabisa...Wenger hana mbinu za ushindi tena....Siku hizi hata ushindi tunaouoata ni wa kubahatisha..Arsenal ya sasa hv sio Arsenal yetu ile ambayo mtu akiiona inacheza uwanjani anatarajia inacheza soka murua...

Arsenal kufungwa 3-0 na Stoke ndani ya dk 45 ni fedheha comrade...Ifike kipindi tukubali kwamba zama za Wenger zimeisha...Ningekuwa na uwezo ningemuondoa..Lakini kwa Arsenal yetu hii kumlalamikia Wenger ni sawa na hadithi ya Kilio cha samaki...

Inauma sana ingawa hakuna jinsi. ..

Together We stand. .
 
Gunners are 4 goals down 70 min ..... .... .... the big story today .... ... Khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Our season is over again. Kila tukipewa mwanya wa kurudi juu tunaboronga. Anyway ligi bado mbichi tunaweza kugombania top 3 or 2
 
Bora mfute machozi,go on Gunners you can do something in this minutes...
 
We're trying to come back slowly but surely, 20 minutes to go, 3-2
 
lol!!!! hahahahaha walaaaa Evelenk mie na wanasiasa mbali mbali kabisaaaa 🙂🙂

Hahahaha!! Kweli wewe ni Politician umemjibu kama vile CCM walivyokuwa wanaua hoja za Ukawa.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom