BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,769
- 288,283
Umeona eeh!! Dakika za mwisho kibao kinaweza kugeuziwa kwako, machungu yake si ya kawaida. Na wale Southhampton ni wazuri mwaka huu, si vibonde tena.
Acha kabisa dakika za mwisho ni nzuri sana na ni mbaya sana,zikutumiwa vizuri huleta matokeo mazuri maana timu zote zinakuwa kwenye tension kubwa,dah unanikumbusha machungu ya Argentina kukosa Ndoo kwenye world cup dakika za mwisho zikabadilisha mambo.