utafiti
JF-Expert Member
- Jul 18, 2013
- 12,783
- 7,671
Maskini pole weee.Niambie uko wapi nije kukupeleka home
Hahah usijali nishafika....natakiwa nisahau kipigo ili niweze kula....
Maskini pole weee.Niambie uko wapi nije kukupeleka home
Anaota huyoKinyang'anyiro cha ubingwa? Unaongea unatania?
Kinyang'anyiro cha ubingwa? Unaongea unatania?
Hahah usijali nishafika....natakiwa nisahau kipigo ili niweze kula....
Unaijua EPL kaka? Waulize L'pool nini kilichotokea mwaka jana baada ya kudhani ubingwa ni wao halafu wakapokonywa tonge mdomoni dakika za mwisho. Kilichotokea kwa L'pool msimu uliopita kinaweza kutokea kwa timu yeyote ile. Usitishike na gap kubwa iliyokuwepo bado safari ni ndefu sana, katika mechi 38 ambazo kila timu inatakiwa icheze ndio kwanza zimechezwa mechi 12 tu na hivyo bado kuna mechi 26 kwa kila timu hadi May 2015.
Karibu sana Mkuu tujiliwaze baada ya hiki kipigo cha hawa shetani wekundu.
Ni kweli mkuu mziki wa BPL sio wa kuuongelea ongelea ndio maana makocha wenyewe wapo kimya
Ni kweli mkuu mziki wa BPL sio wa kuuongelea ongelea ndio maana makocha wenyewe wapo kimya
zilipendwa hizo
Duuh tumefungwa but ni ukweli ulio wazi kuwa Dean kagawa goli la kwanza ambalo ndilo lililoitoa Arsenal mchezoni kwanza kuna jamaa alikuwa kazidi pili kipa aliumizwa but refa akaendeleza mpira.
But all in all ts part of the Game na Wenger pamoja na benchi lake la Ufundi wana Kazi ya Ziada.
Duuh tumefungwa but ni ukweli ulio wazi kuwa Dean kagawa goli la kwanza ambalo ndilo lililoitoa Arsenal mchezoni kwanza kuna jamaa alikuwa kazidi pili kipa aliumizwa but refa akaendeleza mpira.
But all in all ts part of the Game na Wenger pamoja na benchi lake la Ufundi wana Kazi ya Ziada.