Heaven on Earth
JF-Expert Member
- Mar 21, 2013
- 37,226
- 26,716
Tupo sana tu tena kwa idadi kubwa, Best hushangilii timu kila inaposhinda tu na pale inapofungwa basi uanze kuangalia ustaarabu wa kuhamia timu nyingine. Mtu wa hivyo hakuwa na mapenzi ya kweli na timu ni mnafiki tu bendera hufuata upepo.
Haaaa Kama nakuona unavyonielezea.... mara nyingi huwa wanafungwa.