Nimekuja.....poleni sana wapendwa ndo mpira huo
Nilijua utakuja tu si mmeshinda lol! hahahahaha tungewachapa ungesepa kimya kimya hata salam za kuaga, kukusikia tena baada ya wiki 🙂🙂
Matokeo ya leo siamini kabisa
Wale wote walionisoma post No 38144 kwenye uzi huu na unakubaliana na kitu ambacho nilikisema nakuomba au nawaombeni munigongee like kama ishara ya kukubali kitu ambacho nilikitabiri.
Kwa ufupi nilisema hivi...mimi ni mshabiki na mpenzi mkubwa sana wa Arsenal ila leo ni lazima Man U watatufunga tena kwani Arsenal kwa Man U ni kama mbwa kamuona chatu. Imeniuma sana...lakini nilichotabiri ndicho kilichotokea.
Kama ulinisoma kwenye post hiyo No38144 naomba unigongee like kama ishara ya kukubali kile nilichosema.
Cc BAK
Matokeo ya leo siamini kabisa
Ngoja kipindicha michezo cha redio one ndio utaaminiMatokeo ya leo siamini kabisa
Wale wote walionisoma post No 38144 kwenye uzi huu na unakubaliana na kitu ambacho nilikisema nakuomba au nawaombeni munigongee like kama ishara ya kukubali kitu ambacho nilikitabiri.
Kwa ufupi nilisema hivi...mimi ni mshabiki na mpenzi mkubwa sana wa Arsenal ila leo ni lazima Man U watatufunga tena kwani Arsenal kwa Man U ni kama mbwa kamuona chatu. Imeniuma sana...lakini nilichotabiri ndicho kilichotokea.
Kama ulinisoma kwenye post hiyo No38144 naomba unigongee like kama ishara ya kukubali kile nilichosema.
Cc BAK
Ts all about football (90')
Kinyang'anyiro cha ubingwa? Unaongea unatania?Mkuu MillionHairs mie nilikwambia ulichoandika ni kweli tupu. Kama umeangalia mpira wote umeona jinsi tulivyoshambulia katika game ambayo tulistahili kushinda kwa kila namna stats za mchezo nadhani umeziona, lakini ndiyo hivyo tena mbwa akina chatu. Inauma sana Mkuu. Inabidi tushinde game zote zilizobaki kati ya sasa na mwaka mpya ili kurudi kwenye kinyang'anyiro cha ubingwa vinginevyo itakuwa ni kugombea nafasi ya nne 🙁🙁