Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Pamoja na Beki yetu ya kati kuwa tepe, bado kushindwa kuwapiga hawa Man Utd na Squad yao ni Sign kuwa AW hana jipya tena!!!!

Kwa mara ya kwanza tokea niipende arsenal leo naunga mkono kua pro. Wenger hana jipya apumzike sasa tumchukue guardiola tumechoka huzuni daily
 
Ni kweli Mkuu tunacheza vizuri, unapofungwa katika mechi ambayo ulistahili kushinda inauma sana Mkuu. Bora kusema tulizidiwa, lakini kucheza vizuri kiasi hiki halafu kupoteza 3 points noma sana Mkuu. 8 minutes to go and probably 7 additional minutes. Hata draw itakuwa ahueni Mkuu.

Mkuu hapa ndio hii timu inanizidishia presha....
Tangu dakika ya kwanza tunacheza vizuuuuri.....
 
Goli Mbili na Majeruhi Wawili...usichezee kabisa Felaini
 
Tupo sana tu tena kwa idadi kubwa, Best hushangilii timu kila inaposhinda tu na pale inapofungwa basi uanze kuangalia ustaarabu wa kuhamia timu nyingine. Mtu wa hivyo hakuwa na mapenzi ya kweli na timu ni mnafiki tu bendera hufuata upepo.

Hivi kuna watu bado wanashabikiaga Arsenal
 
Ooh bora tumepata la kufutia machozi....sio mbaya saana
 
Back
Top Bottom