Haya haya tena leo ni leo asiye na "ntoto" abebe mbuzi mgongoni, shughuli inakaribia kuanza rasmi. Best wangu everlenk alionekana moyo ukienda mbio kupita kiasi angalia usizimie tu best, ukiona hali mbaya cheza mbali na TV au izime kabisa hahahahahah lol!!! Enjoy the game.
Loh!! Niache kidogo tutaongea baada ya dk 90.
Nipo Mkuu mpira tucheze sie kufungwa tufungwe sie! Dah!!! Inauma sana Mkuu goli la kujifunga kwa uzembe.
MgonjwaUkimwi,
Hapa ndugu yangu umenizidi kete! Looh sijawahi sikia hii (signature):- Mwendawazimu ni binadamu mwenye Uhuru bila Nidhamu, na Mtumwa ni binadamu mwenye Nidhamu bila Uhuru. Nimesoma mara mbili mbili nakila mara hujikuta nacheka mwenyewe maanake kweli imetanda kwa kila sura ya shilingi hii... inauma tu pale utakapo jaribu kufanya mahesabu kupata hitimisho yaani Mtumwa ni sawa kabisa na mwendawazimu, japokuwa wametofautiana chanzo....Wee mkali!