Khe Khe Khe Khe Khe let's wait and see ila usininunie tu, maana kwa kununa tu baada ya MANU kufungwa hujambo lol!!! 🙂🙂
Hahaha!!! Hanuni ntu hapa leo nakuona hata kutoa utabiri umeshindwa,usinikimbie tu maana ntakufata hadi huko uliko....
LoL!!! Hahahahaha 2-1 Gunners, and what is your prediction? Itakuwa raha sana leo Wellbeck akawasulubu japo kamoja 🙂🙂
Man U 3-1 ah wapi hana lolote huyo.
Haya tusubiri tuone kicheko kitaenda mtaa upi na mnuno lol!!! hahahahahaha utaenda mtaa upi. Natanguliza pole zangu za dhati.
BAK[/B[/URL]], najuwa umeisoma comment yangu ya utabiri pale juu lakini umeamuwa kunipotezea kwa kile nilichokisema.
Mkuu,najuwa labda upendi au ukupenda kile nilichotabiri pale juu…lakini huo ndiyo ukweli na utaamini maneno yangu baada ya mechi kwisha. All in all mie binafsi namuomba Mungu sana ili tushinde hii game leo…lakini ndiyo hivyo tena kwani timu yetu ikikutana na MAN U ni kama mbwa kwa chatu. PAMOJA DAIMA!!
Hahahaha!!! Hatupotezi kitu hapa, lakini wewe si mupenzi basi nikishinda mimi sawa eh..
!! Ila wewe si sawa,lol
Hapana bhanaaa kama kuna mechi ambazo sipendi tupoteze ni hii ya leo, huwa mara nyingi tunacheza vizuri lakini makosa madogo madogo ya hapa na pale na umaliziaji mbaya/hafifu huwa ni vikwazo vya kushinda katika mechi zetu na MANU. Hivyo leo mie nataka ushindi tu ili weekend yangu iendelee kuwa bomba kama ilivyoanza.
Mhh!! Hapana kwa kweli yani sijawahi kubet hata siku moja leo nimebet....ushindi lazima kwetu mkijitahidi ni droo.
viwete wameokotana leo, ngoja waumizane huku sisi tukiendelea kuning'inia kileleni mpaka mei tukabidhiwe kikombe chetu bila shuruti.