Pia kusema ukweli Nemo anazidi kuwa inconsistent...si siri binafsi namkubali sana Nemo, ila wale waliosema anahitaji muda kuzoea ligi, naanza kuwashangaa? Huu ni msimu wake wa pili; wa kwanza alifanya vizuri sana katika half ya kwanza.
Anahitaji kukaza kwelikweli, la sivyo hata national team ataisikia kwenye bomba!