Mimi nitashangilia matokeo ya aina yoyote isipokuwa goons kushinda.
Kuna #Vimburukenge vinafikiri mpira ulianza wakati kajambazi Ka Abrahamovic kalipoiba pesa Urusi na kukimbilia England Phew! Na kesho mjiandae kale kachezaji kenu kanakojifanya kababe katakula red card ... ... .... . .. ubabe ubabe tu kesho. You can't buy class. COYG
Kuna #Vimburukenge vinafikiri mpira ulianza wakati kajambazi Ka Abrahamovic kalipoiba pesa Urusi na kukimbilia England Phew! Na kesho mjiandae kale kachezaji kenu kanakojifanya kababe katakula red card ... ... .... . .. ubabe ubabe tu kesho. You can't buy class. COYG
Five reasons why Arsenal are the 'Kings of London' not Chelsick!
![]()
Arsenal have won the most major trophies of any London club by far!
![]()
The Emirates Stadium is the finest club ground in England
![]()
No other club has a tube station named in its honour!
![]()
Arsenal have more Twitter followers than Chelsick!
![]()
Arsenal have built success over decades, Chelsick have recently bought it
mwanaume wa shoka hukimbia marathon sio vi mita 200. Unbeaten ndo record pekee wanaume wa shoka wanaweza jitapa mbele ya watu na sio uefa kombe lenyewe ka bonanza tu.
Maneno ya mkosaji hayo ndugu yangu rockcity
unajua nini ndugu kuna watu wamebeba uefa kiujanja ujanja tu halafu wanajisifu. Kubeba uefa sometime ni bahati tu kukudondokea lakini haikufanyi kuwa timu bora. Kwa maana hiyo basi hata notingham forest na aston vila ni timu bora duniani coz na wao washabeba uefa.
Duuuuuuuuuuuuuuuuuuuh!!!!!! Unafiki mmbaya saana.Mimi nitashangilia matokeo ya aina yoyote isipokuwa goons kushinda.
Sawa nakubaliana na wewe, na pia hao Nottingham Forest na Aston Villa walikuwa Bora kwa kipindi chao ila sio sasa.....
Ila mpira ni mchezo wa makosa siku zote unapokosea ndipo unapoadhibiwa, halafu huo unajanja inamaana timu kubwa kama Arsenal inaukosa kweli??
unajua nini ndugu kuna watu wamebeba uefa kiujanja ujanja tu halafu wanajisifu. Kubeba uefa sometime ni bahati tu kukudondokea lakini haikufanyi kuwa timu bora. Kwa maana hiyo basi hata notingham forest na aston vila ni timu bora duniani coz na wao washabeba uefa.
unajua nini ndugu kuna watu wamebeba uefa kiujanja ujanja tu halafu wanajisifu. Kubeba uefa sometime ni bahati tu kukudondokea lakini haikufanyi kuwa timu bora. Kwa maana hiyo basi hata notingham forest na aston vila ni timu bora duniani coz na wao washabeba uefa.
Duuuuuuuuuuuuuuuuuuuh!!!!!! Unafiki mmbaya saana.
hahaha sisi timu maburudani hatutaki kushinda kiujanja ujanja. We si unaona mtaa wa 7 walizoea vya kunyonga enzi za mfalme wao, sahivi mfalme kasepa na bahasha zake nyekundu sasahivi hali tete... Marseile wenyewe walitumia ujanja ujanja 93 wakabeba uefa lakini akashtukiwa akafungiwa.
Pale mbele yuko Diego Costa,
Nyuma Yake kidogo yuko Fabrigas na Oscar.
Pembeni pande kushoto na kulia yuko Hazard na Willian Au Salah na Shurrel
Katikati yuko Matic
Nyuma ya Matic yuko
Terry Cahill Ivanovic na Azpi.
Hakuna wa kutuzuia!