Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Zile 6 Kwa oooooooh na kesho zinapigwa tena!

Mtakimbia humu ndani!

Nzi usiache kupitia huku mkuu uone hawa jamaa watakavyopigwa!

Mimi nitashangilia matokeo ya aina yoyote isipokuwa goons kushinda.
 
Last edited by a moderator:
Kuna #Vimburukenge vinafikiri mpira ulianza wakati kajambazi Ka Abrahamovic kalipoiba pesa Urusi na kukimbilia England Phew! Na kesho mjiandae kale kachezaji kenu kanakojifanya kababe katakula red card ... ... .... . .. ubabe ubabe tu kesho. You can't buy class. COYG
 
Mimi nitashangilia matokeo ya aina yoyote isipokuwa goons kushinda.



Alafu nashangaa sn Msimu uliopita hawa Goons walikua wanapiga sn kelele, Lkn Msimu Huu naona wako kimya!


Goons njooni mpange mipango ya kesho!
 
Kuna #Vimburukenge vinafikiri mpira ulianza wakati kajambazi Ka Abrahamovic kalipoiba pesa Urusi na kukimbilia England Phew! Na kesho mjiandae kale kachezaji kenu kanakojifanya kababe katakula red card ... ... .... . .. ubabe ubabe tu kesho. You can't buy class. COYG


Wacha1 kesho usikimbie tu!

Game imeshaanza!
 
Last edited by a moderator:
Kuna #Vimburukenge vinafikiri mpira ulianza wakati kajambazi Ka Abrahamovic kalipoiba pesa Urusi na kukimbilia England Phew! Na kesho mjiandae kale kachezaji kenu kanakojifanya kababe katakula red card ... ... .... . .. ubabe ubabe tu kesho. You can't buy class. COYG


Pale mbele yuko Diego Costa,

Nyuma Yake kidogo yuko Fabrigas na Oscar.


Pembeni pande kushoto na kulia yuko Hazard na Willian Au Salah na Shurrel

Katikati yuko Matic

Nyuma ya Matic yuko

Terry Cahill Ivanovic na Azpi.

Hakuna wa kutuzuia!
 
arsene-1758106.jpg
 
Five reasons why Arsenal are the 'Kings of London' – not Chelsick!


491828873v2.jpg


Arsenal have won the most major trophies of any London club by far!


464851371.jpg


The Emirates Stadium is the finest club ground in England


456192274v2.jpg



No other club has a tube station named in its honour!





afc030914.jpg


Arsenal have more Twitter followers than Chelsick!


cashley030914.jpg


Arsenal have built success over decades, Chelsick have recently bought it



Arsenal have won the most major trophies of any London club by far...kweli?

Hivi pale London Arsenal ndo wana kombe la UEFA kumbe??
 
if raping is unevitable you just relux. poleni arsnal na tunaomba mtupe tu ushirikiano kwani kubakwa hakuepukiki kesho.
Ni ushauri wa bure tu kama unaona mazingira uliyopo huwezi kupata msaada dhidi ya mbakaji ni vema ukampa ushirikiano ili asikuchubue baada ya hapo unaweza kufikifiria namna ya kufanya
 
Maneno ya mkosaji hayo ndugu yangu rockcity

unajua nini ndugu kuna watu wamebeba uefa kiujanja ujanja tu halafu wanajisifu. Kubeba uefa sometime ni bahati tu kukudondokea lakini haikufanyi kuwa timu bora. Kwa maana hiyo basi hata notingham forest na aston vila ni timu bora duniani coz na wao washabeba uefa.
 
Last edited by a moderator:
unajua nini ndugu kuna watu wamebeba uefa kiujanja ujanja tu halafu wanajisifu. Kubeba uefa sometime ni bahati tu kukudondokea lakini haikufanyi kuwa timu bora. Kwa maana hiyo basi hata notingham forest na aston vila ni timu bora duniani coz na wao washabeba uefa.

Sawa nakubaliana na wewe, na pia hao Nottingham Forest na Aston Villa walikuwa Bora kwa kipindi chao ila sio sasa.....

Ila mpira ni mchezo wa makosa siku zote unapokosea ndipo unapoadhibiwa, halafu huo unajanja inamaana timu kubwa kama Arsenal inaukosa kweli??
 
Sawa nakubaliana na wewe, na pia hao Nottingham Forest na Aston Villa walikuwa Bora kwa kipindi chao ila sio sasa.....

Ila mpira ni mchezo wa makosa siku zote unapokosea ndipo unapoadhibiwa, halafu huo unajanja inamaana timu kubwa kama Arsenal inaukosa kweli??

hahaha sisi timu maburudani hatutaki kushinda kiujanja ujanja. We si unaona mtaa wa 7 walizoea vya kunyonga enzi za mfalme wao, sahivi mfalme kasepa na bahasha zake nyekundu sasahivi hali tete... Marseile wenyewe walitumia ujanja ujanja 93 wakabeba uefa lakini akashtukiwa akafungiwa.
 
unajua nini ndugu kuna watu wamebeba uefa kiujanja ujanja tu halafu wanajisifu. Kubeba uefa sometime ni bahati tu kukudondokea lakini haikufanyi kuwa timu bora. Kwa maana hiyo basi hata notingham forest na aston vila ni timu bora duniani coz na wao washabeba uefa.

Unaposema kiujanja Janja unamaanisha nini?

Kwa mfano, Chelsea tangu iwe chini ya Abromoney. Imefika Fainaly Mara mbili na kuchukua kombe Mara moja! Kufika nusu Fainaly ni Mara nyingi tu. Sasa huoni km wanastahili kuchukua kombe?
 
unajua nini ndugu kuna watu wamebeba uefa kiujanja ujanja tu halafu wanajisifu. Kubeba uefa sometime ni bahati tu kukudondokea lakini haikufanyi kuwa timu bora. Kwa maana hiyo basi hata notingham forest na aston vila ni timu bora duniani coz na wao washabeba uefa.

kwa hiyo Arsenal hamna bahati?
 
zp_515752665_SM_0993_52_18DFA7_780.jpg



zp_515752665_SM_1017_99_18DFA9_8977.jpg




zp_515752665_SM_1038_0C_18DFAA_7414.jpg



zp_515752665_SM_1051_BA_18DFAC_9316.jpg



zp_515752665_SM_1063_B7_18DFAE_7292.jpg



zp_515752665_SM_1137_AA_18DFB6_7971.jpg




zp_515752665_SM_1274_DF_18DFC6_4247.jpg



zp_515752665_SM_1322_81_18DFC9_4669.jpg



zp_515752665_SM_4076_95_18DFCD_4763.jpg


Wachezaji wote nyota walikuwepo kwenye mazoezi leo Colney
kwa mtanange wa kesho na mafioso .. . .
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
hahaha sisi timu maburudani hatutaki kushinda kiujanja ujanja. We si unaona mtaa wa 7 walizoea vya kunyonga enzi za mfalme wao, sahivi mfalme kasepa na bahasha zake nyekundu sasahivi hali tete... Marseile wenyewe walitumia ujanja ujanja 93 wakabeba uefa lakini akashtukiwa akafungiwa.

Hivi unajua hata David Dein (aliyekuwa mmiliki wa goons kwa muda mrefu tu) kipindi ni bosi wa FA naye alikuwa kwenye mtandao wa huyo mfalme unayemzungumzia!?!?
 
Pale mbele yuko Diego Costa,

Nyuma Yake kidogo yuko Fabrigas na Oscar.


Pembeni pande kushoto na kulia yuko Hazard na Willian Au Salah na Shurrel

Katikati yuko Matic

Nyuma ya Matic yuko

Terry Cahill Ivanovic na Azpi.

Hakuna wa kutuzuia!

......jiandae pa kuiweka sura yako wewe, kesho tunakuja kivingine mtashangaa wenyewe!
Kesho kwenu ni msiba nawaambia!

#ComeOnYouGunners!!!

We are ready!!!!!!
 
Back
Top Bottom