Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Una namba ya wenger hapo? Nataka nimkumbushe kumuingiza sanogo naona washalegeza kamba hawa

hahahah...yeah, #Sanogo ni type ya wachezaji kama "Jenerali" Juma Mkambi miaka ile.
Yaani anauwezo mkubwa wa mikikimikiki pale mbele halafu mfungaji anakua mwingine.
 
....#AlexisSanchez kiukweli hili goli litamsaidia confidence, maana....

Kabisa,

Amekuwa under pressure hasa baada ya Giroud kuwa imethibitishwa ameumia.

Lakini atapata mori zaidi kucheza kwa maelewano mazuri na Cazorla, Ozila, Wilshere na Chamberlain na ile milioni 35 ilolipwa itakuwa imekwenda sawa.
 
COYG

Kiputa kinaanza upya

Ikumbukwe kwamba meneja wa Besiktas Slavan Bilic na mashabiki maana amefungiwa kwa mechi mbili kwa kumtukana mwamuzi wa akiba kwenye mechi ya kwanza.

Hakuna mabadiliko kwa timu yoyote
 
Santi Cazorla anapiga shuti ya chini na Sanchez anachelewa kuunganisha na mpira unakwenda nje na kuwa goalkick.

Dakika inakwenda ya 5
 
We need a 2nd Goal ASAP, 😛op2:😛op2:😛op2:.....WE NEED TO KILL-OFF THIS GAME!​
 
COYG

Sacheeeeeeez du anakosa

Inapigwa kona na inapotezwa na Arsenal
 
Aise goli moja halitoshi kabisa maana hawa jamaa wakipata drawn ya magoli wao wanaendelea sisi out
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Back
Top Bottom