Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

.......😛op2:😛op2:😛op2:,.....#TemperatureRising? Nooo, ila hawa jamaa wana Simulate diving kuliko Ashley Young!​
 
Arsenal wasipoangalia tutakuwa tunachekana na kina United na Spurs..
 
Jack Wilshere ana bahati sana, anamkwatua mchezaji wa kiungo wa Besiktas ndani ya duara ya Arsenal na mwamuzi anasema hakuna penalty.
 
Arsenal wasipoangalia tutakuwa tunachekana na kina United na Spurs..

Hakuna icho kitu mkuu, ila tumechoka kila mwaka tunaingia uefa kwa style hii...sisi wakubwa bana mambo haya wafanye man u au liverpool
 
Back
Top Bottom