Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

1408213937861_wps_60_LONDON_ENGLAND_AUGUST_16_.jpg



1408214060934_wps_63_16_August_2014_Barclays_P.jpg



Rambo kama kawa ... .... ...


1408213910937_wps_57_Barclays_Premier_League_A.jpg


Koscielny baada ya kuweka chuma wavuni .... ... .


1408212071703_wps_35_LONDON_ENGLAND_AUGUST_16_.jpg




1408214143938_wps_65_Barclays_Premier_League_A.jpg


the technic was perfect .... ...


1408212444575_wps_44_LONDON_ENGLAND_AUGUST_16_.jpg


New boy at the Emirates Alexis .... .


1408212479522_wps_46_epa04356889_Arsenal_s_Mat.jpg


Mathieu Debuchy a hope over from New castle ... ..


1408211131315_wps_15_Arsenal_s_Aaron_Ramsey_le.jpg


Rambooooooooooooooooo


1408211097025_wps_14_LONDON_ENGLAND_AUGUST_16_.jpg


Debuchy .... .... .. money well spend ..... ...

COYG
 
Hahahahaha lol!!! Pole zako, labda next week utarudi kimo chako cha kawaida 🙂🙂 siye tumetokea tundu la sindano lakini furaha tele maana kama ujuavyo kupata point tatu si sawa na kupata point moja au kutoka nunge kama shetani wekundu lol!!! #TeamArsenal ikikamilika na Walcott anarudi in few weeks kama ataweza kurudia uchezaji wake ulivyokuwa kabla ya kuumia basi ngome nyingi zitakuwa katika heka heka kubwa ili kuzuia nyavu zao zisitikiswe na safu ya washambuliaji wa Gunners.

Haya bana...nimekuwa mdogo leo...
 
.....yeah man! It's a marathon mpk May panapouzima. Safari hii si ndetichia na Ab-Titchaz wa ManCity, au Mentor na Ntuzu wa Chelski wanathubutu kuleta jeuri yao hapa ya kujitangazia ubingwa kabla ligi haijaanza...

......#Liverpool tu kina Pazi na wengineo ndio naona midomo juu juu as if #Ubingwa mwaka jana waliukosa kibahati bahati. Tutawaona msimu huu wakishiriki pia Champs League.

Kina Nzi na Belo, wazee wa 7Up weshajizoelea sasa, kimyaaaaaa!!!!

All the best #Gunners wote, !!!


#MosKwito !

sisi ndo mabingwa mtake msitake #trueblue #LONDONpride

Ngojeeni leo usiku tuwaoneshe. Mourinho keshasema hachagui kikosi cha kushinda, la hasha, kwa maana hata kabla ya mechi tushashinda! Kinachompa shida ni kuchagua kikosi kitakachofunga magoli mengi...leo usiku tunakaa kileleni!!!
 
ujumbe murua kabisa; kikosi kitakachofunga magoli mengi. leo ni leo.:A S-eek:


sisi ndo mabingwa mtake msitake #trueblue #LONDONpride

Ngojeeni leo usiku tuwaoneshe. Mourinho keshasema hachagui kikosi cha kushinda, la hasha, kwa maana hata kabla ya mechi tushashinda! Kinachompa shida ni kuchagua kikosi kitakachofunga magoli mengi...leo usiku tunakaa kileleni!!!
 
Naskia ramboo baada ya kufunga tu jastin timberlake hatunae huyu jamaa noumer ipo siku atafunga alf tutasikia jk hatunae
 
sisi ndo mabingwa mtake msitake #trueblue #LONDONpride

Ngojeeni leo usiku tuwaoneshe. Mourinho keshasema hachagui kikosi cha kushinda, la hasha, kwa maana hata kabla ya mechi tushashinda! Kinachompa shida ni kuchagua kikosi kitakachofunga magoli mengi...leo usiku tunakaa kileleni!!!

ujumbe murua kabisa; kikosi kitakachofunga magoli mengi. leo ni leo.:A S-eek:

Mshaanza kelele zenu,
Arghhh!!!


#MosKwito !
 
Kabla hatujaongelea baadae me naomba kwa sasa ukanitafutie
Mndengereko, mfarisayo , PRONDO na wakongwe wa kupotea kama Tcleverly.

ndugu yangu...mbona hujifunzi?? ni misimu 9 sasa huwa unaanza hivi hivi baadae unaanza kuhangaika kupata nafasi ya nne!!! sioni jipya hapa,mwaka jana ulikakaa hadi mwezi wa pili hivi baadae unajua kilichotokea,mimi nipo tutaonana tu nabaki nawasoma tu kwa sasa ila nitakukumbusha.
 
Mkuu Mbu "dengue" aliposema maneno hayo alikuwa bado mtoto si unajua wakuu nyie huwa mnakuza vipaji alaf mnauza?
-Alex Song
-Nasri
-Gael Clich
-Bacri Sagna
-Flamini
-Kleb
-Edu
-Van Persie[to the Devils]
-Varmallen[to Barca]
-Fabianski[to Swansea]

-Fabregas..[tena nasikia huyu jamaa alikuwa radhi kurudi kwenu; ila LE PROFESERI akamfungia vioo?:A S-eek:]

tena nasikia Joe Campbell mnataka mumpeleke Newcastle kwa mkop??
qwi qwi qwi.



 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Back
Top Bottom