Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

  • 90' + 5'
    Crystal Palace earn themselves a corner kick with just a few seconds remaining. It's sent deep into the box where it's met by Szczesny, who gets two hands on the ball but is fouled in the process, leaving Jonathan Moss no choice but to award a free-kick to Arsenal.
 
Game over - Arsenal become the first team to win a home game on the opening weekend of this season.
 
Last edited by a moderator:
Mbu Leo kanenepa amekuwa Kama Nzi na Nzi Kule amepunguwa Kuwa Kama Mbu mshukuru Ramsey ungekuwa damu Leo.
 
Kwa kweli timu imecheza kwa juhudi kubwa na Crystal Palace waliridhika na goli moja walilolipata.

Arsenal bado wanahitaji mshambuliaji ambae ni mmaliziaji mzuri na mlinzi kiungo.

Jack Wilshere haonyeshi ukakamavu ingawa anakuwa akichezea mpira pale katikati kati yake na Santiago Cazorla na Aaron Ramsey.

Arsenal wanakuwa wakifanya mashambulizi polepole na hivyo kupoteza tempo ya mchezo.

Nafikiri mzee Wenger ameona hilo na labda kama ataanza na timu iliyomaliza mchezo huu ikiwa na Alex Oxlade Chamberlain katikati na Olivier Giroud kule mbele.

Chamberlain analeta mwongezo wa kasi ya mchezo na Giroud anachanganya mabeki wa timu pinzani.
 
Thanks Gunners

Job done!. Say what you like but remember, three points is in our PL bag.

Mambo mengine tunawaachia Football pundit. Action speaks louder than words!. Sisi ni watu wa action.

Tukutane tena Jumanne, 19 Aug at 19:45 GMT kutoa vidonge kwenye viwanja vya Ataturk Olympic, Istanbul.

Once a Gunner, Always a Gunner
 
Hahahahahaha lol!!! Nilijua tu umekaa kimyaaaa unafuatilia kipute na kuomba dua la Nzi limpate Mbu lol!!!! ili ushuke hapa na kutoa kejeli na kashfa za kila aina, leo URIE tu subiri siku nyingine labda dua za mdudu zinaweza kusikilizwa.

Naona mmejilamba midomo...ningemwaga shombo humu...bahati yenu...
 
Last edited by a moderator:
Ushindi muhimu tunachotakiwa sasa ni kukwalifai UCL group stage j4 tunyamazishe watu.
Tunai save hii Rubaman hehehe utakuja kuiona siku Kama Belo alituambia wageni tusikimbie ukumbini kwao, mara wageni mwenyeji Belo hatujamuona njaa tu, mwenzake Nzi alikuwa choo cha shimo! Mpaka wageni tumeondoka.
 
debuchy_3008539b.jpg

Mathieu Debuchy akishughulika.

Laurent-Koscielny.jpg

Laurent Koscielny akishangilia goli la kusawazisha baada ya kuwa nyuma kwa goli moja.

_76989044_ramsey_reuters.jpg

Aaron Ramsey akishanglia goli la pili kwa timu yake baada ya kufunga kwenye dakika ya 90.
 
Tunai save hii Rubaman hehehe utakuja kuiona siku Kama Belo alituambia wageni tusikimbie ukumbini kwao, mara wageni mwenyeji Belo hatujamuona njaa tu, mwenzake Nzi alikuwa choo cha shimo! Mpaka wageni tumeondoka.

Hahaha kuna mtu alisema tu bookmark maneno yake Man utd watabeba kombe msimu huu, nimesahau jina lake. Kina Belo na Nzi walivyopotea utadhani waliwaona polisi wana patrol uswahilini kipindi cha krismasi.
 
Back
Top Bottom