Mbu
JF-Expert Member
- Jan 11, 2007
- 12,752
- 7,876
Naona msimu unaanza Leo..Muda mfupi ujao kipute kitaanza...Pazia la EPL 2014/2015 kufunguliwa rasmi....
Kila la heri Gunners wenzangu wa ukweli...
COYG...
Once a Gunner...Always a Gunner...
Together We Stand....
Bala.
.....yeah man! It's a marathon mpk May panapouzima. Safari hii si ndetichia na Ab-Titchaz wa ManCity, au Mentor na Ntuzu wa Chelski wanathubutu kuleta jeuri yao hapa ya kujitangazia ubingwa kabla ligi haijaanza...
......#Liverpool tu kina Pazi na wengineo ndio naona midomo juu juu as if #Ubingwa mwaka jana waliukosa kibahati bahati. Tutawaona msimu huu wakishiriki pia Champs League.
Kina Nzi na Belo, wazee wa 7Up weshajizoelea sasa, kimyaaaaaa!!!!
All the best #Gunners wote, !!!
#MosKwito !
Last edited by a moderator: