Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Game ya Everton ndo itaamua nafasi yetu...!! Lakini siiweki hofu kwani Everton hawaniumizi kichwa sana.

Hao mbona kichapo ni lazima?

Nakuhakikishia ubingwa ni wetu msimu huu!!!!!
 
zp_482363501_SM_8364_BC_29F3C0_7514.jpg



Prof anaongoza kikosi cha ushindi .... ... Colney
 
Masikin asernal kucheka kwao uwa ni kwenye mazoezi tu...ila kwenye mechi uwa ni vilio tusubilie kilio chao kingine kesho.
 
Hao mbona kichapo ni lazima?

Nakuhakikishia ubingwa ni wetu msimu huu!!!!!



Mkuu umepita pande za huku Leo!

Karibu sn Mkuu! Uwe unapita na kwenye Uzi wetu kule Wa Chelsea mabingwa Wa kwanza Wa UCL ktk jiji la London!
 
Last edited by a moderator:
Mkuu umepita pande za huku Leo!

Karibu sn Mkuu! Uwe unapita na kwenye Uzi wetu kule Wa Chelsea mabingwa Wa kwanza Wa UCL ktk jiji la London!

duh kumbe hilo jiji na umaarufu wote UCL ya kwanza imetua 2012,ama kweli mpira uko NORTHERN ENGLAND.....the last three premier league titles were won by manchester clubs.....probably the fourth is coming to manchester....
 
duh kumbe hilo jiji na umaarufu wote UCL ya kwanza imetua 2012,ama kweli mpira uko NORTHERN ENGLAND.....the last three premier league titles were won by manchester clubs.....probably the fourth is coming to manchester....


Ndio Maana Chelsea kidume chao!

Hao washika bunduki na Spurs na vi timu vingine Hamna kitu ktk UCL! Yani Chelsea Ndio Pride ya London ktk UCL!


Chezea Abramovic wewe! Shaulilo!
 
Teh Teh Teh Teh Teh

Hii timu ilikua inataka Ubingwa! Sasaivi wanagombania nafasi ya 4 ya kucheza UEFA next season!

Teh Teh Teh Teh


Ligi ya Mwaka huu raha sn!
 
Mkuu umepita pande za huku Leo!

Karibu sn Mkuu! Uwe unapita na kwenye Uzi wetu kule Wa Chelsea mabingwa Wa kwanza Wa UCL ktk jiji la London!

Mkuu huku huwa napita sana tu huenda tunapishana

Huko kwa Chelsea nitakwenda!
 
Teh Teh Teh Teh Teh

Hii timu ilikua inataka Ubingwa! Sasaivi wanagombania nafasi ya 4 ya kucheza UEFA next season!

Teh Teh Teh Teh


Ligi ya Mwaka huu raha sn!

Subiri ligi ifikie tamati kama utasema tena haya maneno!
 
Subiri ligi ifikie tamati kama utasema tena haya maneno!



Mkuu Mimi ntaanza kusema Leo jioni saa12 baada ya game yenu na Everton! Na mkumbuke Everton Wana game moja kipolo! Km watawafunga nyie Leo na hicho kipolo wakashinda basi watakua juu yenu! Na nyie Mtakua nafasi ya 5.

Aisee! Ligi ya Mwaka bhana raha sn! Yani kutoka kuongoza ligi mpk kugombania nafasi ya 4. Teh Teh Teh Teh !
 
Back
Top Bottom