Balantanda
JF-Expert Member
- Jul 13, 2008
- 12,484
- 4,821
Mkuu; ulitaka iwe penati?
duuuh chuma cha pili kile kilikuwa daamn.tunatakiwa tuwapige cha pili kabla half time hawa.
naona wameamka nawao tunahitaji goli pili haraka sana .tukifanya mchezo jamaa watatutoa nishai.AW, Vijana wakitulia bado tuna goli mbili zaidi na J'tano tutawachapa tena na kujizolea six points toka kwao na kuendelea kula sahani moja na akina Chelsea na MANU.