Ng'wamapalala
JF-Expert Member
- Jun 9, 2011
- 6,811
- 6,506
Theoretically, yes. Practically, not so sure.naona game ya arsenal vs everton inaweza kuamua kama everton wataweza kushika namba nne au la. wakishinda leo halafu wakiwafunga arsenal next game 4th place is theirs to lose.
Kama nilivyoeleza hapo mwanzo, dakika 90 katika league za England kwenye football ndiye mwamuzi.