ubaya wa man city hata ucheze vipi, dakika za 80 huko lazima toure akupige tuu
kuna ukweli wowote hapa?
ubaya wa man city hata ucheze vipi, dakika za 80 huko lazima toure akupige tuu
ubaya wa man city hata ucheze vipi, dakika za 80 huko lazima toure akupige tuu
Ox kainia anaweza leta matumain.
Sahau hicho kitu ndugu yangu...kwa timu yetu hii ninayoijuwa mimi? Mkuu tukishinda game hii Chelsea anawezaI hate u...shindwa kabisa, game hii tukishinda tutakuwa real contender kule juu
kweli arsenal imekwisha unatoa giroud unaingiza sanogo!!!!!!
Hahaaaa I get ur point ingawa mi sitaki tufingwe bora twende sare tuSahau hicho kitu ndugu yangu...kwa timu yetu hii ninayoijuwa mimi? Mkuu tukishinda game hii Chelsea anaweza
kuchukuwa ubingwa. Mwenzio nikikumbuka zile goli 6 walizotupiga Chelsea kwa uonevu na red card juu kiukweli
naumia sana. Acha tu Man City washinde hii game
Na mashabiki wao wanamisifa na midomo kama Didier Droghba.hata mi sipendi chesi wachukue ndoo, wanamaneno sana
Sanogo ndo Ana goli la ushindi
Na mashabiki wao wanamisifa na midomo kama Didier Droghba.
Ahsante kama umenielewa...yaani Mourinio alivyo na mdomo imagine ndiyo anachukuwa ubingwa huu itakuwaje?Hahaaaa I get ur point ingawa mi sitaki tufingwe bora twende sare tu
Naijua Chelsea nje ndani...sita sahau siku Didier Drogba aliposema mbele ya waandishi wa habari kuwa anaweza kuifunga Arsenal hata akiwa ametoka kwenye kuamka au hata kama ajafanya mazoezi kwa miezi 2mkuu ulijuaje?