Silva anakula njano kwa kucheza faulo mbaya sana
Kwann asipewe red kama faulu mbaya? Au ndo mbeleko?
Duh nawafuatilia wakuu kutoka huku juu ya mti..leteni update za maana game iko vp, wapu tumewashika? Wapi pako pabovu and all..mi muda wote narefresh page tu, siogopi nyoka pande za huku ila baridi tu inanipiga..
Mbu Wacha1 Katavi dully jr Piere. Fm Balantanda na wengineo nawahitaji hapa.
Pole Ntuzu Mentor Morinyo
Pamoja ya kuwa mimi ni mpenzi na mnazi mkubwa sana wa Arsenal...lakini kwa game hii nawaombea Man City watufunge ili Chelsea wasichukuwe ubingwa. kila nikiikumbuka ile game yetu tuliyopigwa goli 6 na Chelsea bado
inanitesa na kunipatia uchungu mkubwa sana kwenye moyo wangu...mechi ile tulionewa,tulidhihakiwa na mwisho
tukapewa Red card ya kishenzi kabisa.
Ndiyo maana leo nasema niko radhi tufungwe na Man City ili Chelsea waumie na roho zao ukizingatia leo wamefu
ngwa na vibonde. Kwani hata kama Arsenal watashinda game hii hatuendi popote na wala hatuwezi kuchukuwa ubi
ngwa. Leo nipo upande wa Man City ila wasitufunge zaidi ya goli 3
Pamoja ya kuwa mimi ni mpenzi na mnazi mkubwa sana wa Arsenal...lakini kwa game hii nawaombea Man City watufunge ili Chelsea wasichukuwe ubingwa. kila nikiikumbuka ile game yetu tuliyopigwa goli 6 na Chelsea bado
inanitesa na kunipatia uchungu mkubwa sana kwenye moyo wangu...mechi ile tulionewa,tulidhihakiwa na mwisho
tukapewa Red card ya kishenzi kabisa.
Ndiyo maana leo nasema niko radhi tufungwe na Man City ili Chelsea waumie na roho zao ukizingatia leo wamefu
ngwa na vibonde. Kwani hata kama Arsenal watashinda game hii hatuendi popote na wala hatuwezi kuchukuwa ubi
ngwa. Leo nipo upande wa Man City ila wasitufunge zaidi ya goli 3
Pamoja ya kuwa mimi ni mpenzi na mnazi mkubwa sana wa Arsenal...lakini kwa game hii nawaombea Man City watufunge ili Chelsea wasichukuwe ubingwa. kila nikiikumbuka ile game yetu tuliyopigwa goli 6 na Chelsea bado
inanitesa na kunipatia uchungu mkubwa sana kwenye moyo wangu...mechi ile tulionewa,tulidhihakiwa na mwisho
tukapewa Red card ya kishenzi kabisa.
Ndiyo maana leo nasema niko radhi tufungwe na Man City ili Chelsea waumie na roho zao ukizingatia leo wamefu
ngwa na vibonde. Kwani hata kama Arsenal watashinda game hii hatuendi popote na wala hatuwezi kuchukuwa ubi
ngwa. Leo nipo upande wa Man City ila wasitufunge zaidi ya goli 3