Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kwann asipewe red kama faulu mbaya? Au ndo mbeleko?

Bila kujali ushabiki ni kweli silva alistahili kadi nyekundu ila mwamuzi katoa njano.
Wakati mwingine marefa wa UK hawana tofauti na mtaalam Webb
 
Pamoja ya kuwa mimi ni mpenzi na mnazi mkubwa sana wa Arsenal...lakini kwa game hii nawaombea Man City watufunge ili Chelsea wasichukuwe ubingwa. kila nikiikumbuka ile game yetu tuliyopigwa goli 6 na Chelsea bado
inanitesa na kunipatia uchungu mkubwa sana kwenye moyo wangu...mechi ile tulionewa,tulidhihakiwa na mwisho
tukapewa Red card ya kishenzi kabisa.

Ndiyo maana leo nasema niko radhi tufungwe na Man City ili Chelsea waumie na roho zao ukizingatia leo wamefu
ngwa na vibonde. Kwani hata kama Arsenal watashinda game hii hatuendi popote na wala hatuwezi kuchukuwa ubi
ngwa. Leo nipo upande wa Man City ila wasitufunge zaidi ya goli 3
 
Duh nawafuatilia wakuu kutoka huku juu ya mti..leteni update za maana game iko vp, wapu tumewashika? Wapi pako pabovu and all..mi muda wote narefresh page tu, siogopi nyoka pande za huku ila baridi tu inanipiga..
Mbu Wacha1 Katavi dully jr Piere. Fm Balantanda na wengineo nawahitaji hapa.
Pole Ntuzu Mentor Morinyo

teh teh teh teh pole kwa kuwa juu ya mti mkuu sasa ni halftime na tumebamizwa moja mpaka sasa.
 
Last edited by a moderator:
Arsenal mkishinda hapa mna nafasi ya kuongeza ushindani pale juu....kwani kuna hizi games:

a. Loserfools vs. Shitty
b. Loserfools vs. Chelskis

Hivyo, shindeni leo....ni mara kumi Arsenal ama Chelsea washinde EPL kuliko hao Shitty na Loserfools.
 
Pamoja ya kuwa mimi ni mpenzi na mnazi mkubwa sana wa Arsenal...lakini kwa game hii nawaombea Man City watufunge ili Chelsea wasichukuwe ubingwa. kila nikiikumbuka ile game yetu tuliyopigwa goli 6 na Chelsea bado
inanitesa na kunipatia uchungu mkubwa sana kwenye moyo wangu...mechi ile tulionewa,tulidhihakiwa na mwisho
tukapewa Red card ya kishenzi kabisa.

Ndiyo maana leo nasema niko radhi tufungwe na Man City ili Chelsea waumie na roho zao ukizingatia leo wamefu
ngwa na vibonde. Kwani hata kama Arsenal watashinda game hii hatuendi popote na wala hatuwezi kuchukuwa ubi
ngwa. Leo nipo upande wa Man City ila wasitufunge zaidi ya goli 3

Duh! Kweli Maureen aliumiza mtima wako.
 
Pamoja ya kuwa mimi ni mpenzi na mnazi mkubwa sana wa Arsenal...lakini kwa game hii nawaombea Man City watufunge ili Chelsea wasichukuwe ubingwa. kila nikiikumbuka ile game yetu tuliyopigwa goli 6 na Chelsea bado
inanitesa na kunipatia uchungu mkubwa sana kwenye moyo wangu...mechi ile tulionewa,tulidhihakiwa na mwisho
tukapewa Red card ya kishenzi kabisa.

Ndiyo maana leo nasema niko radhi tufungwe na Man City ili Chelsea waumie na roho zao ukizingatia leo wamefu
ngwa na vibonde. Kwani hata kama Arsenal watashinda game hii hatuendi popote na wala hatuwezi kuchukuwa ubi
ngwa. Leo nipo upande wa Man City ila wasitufunge zaidi ya goli 3

na iwe hivo
 
Pamoja ya kuwa mimi ni mpenzi na mnazi mkubwa sana wa Arsenal...lakini kwa game hii nawaombea Man City watufunge ili Chelsea wasichukuwe ubingwa. kila nikiikumbuka ile game yetu tuliyopigwa goli 6 na Chelsea bado
inanitesa na kunipatia uchungu mkubwa sana kwenye moyo wangu...mechi ile tulionewa,tulidhihakiwa na mwisho
tukapewa Red card ya kishenzi kabisa.

Ndiyo maana leo nasema niko radhi tufungwe na Man City ili Chelsea waumie na roho zao ukizingatia leo wamefu
ngwa na vibonde. Kwani hata kama Arsenal watashinda game hii hatuendi popote na wala hatuwezi kuchukuwa ubi
ngwa. Leo nipo upande wa Man City ila wasitufunge zaidi ya goli 3

Mmh....Kaka,
Mbona kama umeshasoma alama za nyakati?
 
Back
Top Bottom